Jinsi ya kupika pilau na kuku wa kienyeji

mimi najua kupika chai tu, vilivobaki hua sijui, tena chai yenyewe nichemshe kwenye jagi la umeme, na ziwepo teabags tofauti na hapo tutatafutiana lawama
 
Hivi wenzetu huwa mnaandikia computers au maana daaah sio kwa maelezo mengi hivo...........

sweery unipikie hiyo siku moja, okay?
 
Aisee nimekutana huu uzi halafu nimepata mlo mmoja toka jana asubuhi ngoja niende kunywa maji kwanza nijaze tumbo🄱
 
Huyo siyo kuku wa "kienyeji", ni kuku wa "kishamba."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…