Jinsi ya kupika pilau tamu la Nazi

The best moment naipataga Niki enda home aisee 🤓.
Ni kukaa mezani kusubiri maajabu ya mpishi😂.

Usije nigombanisha na majirani zangu, akati wao wa kishua, mi jobless pro max tu 😂
Ni raha sana Mimi sina hiyo bahat akiniona ndio anaanza matashitit mara pika hiki mara hiki😀
Nataka niwasalimie majirani zako 🤣🤣
 
Hongera sana kumbe nawe uko vizuri sana
Kwakweli ni tamu kweli
Napenda sana mapishi ingawa najialika mwenyewe 😄 🤣 😂
Sio mzuri hivyo bali huwa najaribu ila tamu
Leo kuna marinated steak nataka nikaichome sasa hivi kabla ya Ftari
Tamaa tu hamna lolote 😄
Unajua njaa tena
 
Napenda sana mapishi ingawa najialika mwenyewe 😄 🤣 😂
Sio mzuri hivyo bali huwa najaribu ila tamu
Leo kuna marinated steak nataka nikaichome sasa hivi kabla ya Ftari
Tamaa tu hamna lolote 😄
Unajua njaa tena
Ni raha sana kupika kitu unachotamani kula mwenyew hat kama kikatoka ndivyo sivyo
Nakumbuka nilipika vile viaz vya kusaga unachanganya na mayai kwakweli nilitoa Boko 😂😂😂😂nikawa najisifia kinafki mwenyew 🤣🤣
 
Chakula kinavutia
Unaweza kupika chicken birian?
Yes, biriani najua kupika za aina nyingi tu….vegetable biriani, chicken birian, shrimp biriani, beef biriani, goat biriani, nk.

Niliwahi kujifunza kupika pilau, nikapika mara kadhaa halafu nikaacha. Nimeshahau sasa.

Itabidi nianze tena kufanya mazoezi ya kulipika.

Hilo la kwako limetokelezea kweli kweli. Natamani niingie ndani ya screen nichote hata vijiko viwili nionje 😀.
 
Hongera uko vizuri mm birian nilijaribu mara moja tu
Pilau ndo nalionea napika Hadi la samaki 😀
Karibu sana Lilikuwa tamu sana kwakweli
 
Duuu,linatamanisha balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…