Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,441
- 15,201
Aweee hiyo coke 😋Ntakuwa nakufuatilia ingawa huwa najitungia tu mimi mradi kitu kiive View attachment 2948495View attachment 2948496
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aweee hiyo coke 😋Ntakuwa nakufuatilia ingawa huwa najitungia tu mimi mradi kitu kiive View attachment 2948495View attachment 2948496
Asante kwa recipe mkuu. Ila ungetutegulia kitendawili cha ''pilao masala'' ni nini, sisi washamba wengine tungefurahi zaidi. Yaani inatengenezwaje ili iwe nzuri. Unachanganya nini na kwa kiwango gani.Mama wa hekaheka
Wali wa sikukuu ndo huo😀
Aaliyyah Kila siku unanisuprise na mapishi matamu matamu.Natumaini mko poa,hongereni Kwa maandalizi ya sikukuu
Leo nimeandaa recipe ya pilau tamu la Nazi,karibun tujifunze
MAHITAJI
1)Mchele kilo moja.
2)Nyama iliyochemshwa Mimi nilitumia nusu
3)kitunguumaji,kata kata wastani
4)kitunguu swaumu kilichosagwa4)viaz mviringo vya wastani vitano.
5)pilaumasala
6)mafuta ya kupikia.
7)Tui la Nazi kulingana na mchele wako
8)iriki na binzari nyembamba,(Huwa natumia Ile halisi ili kuongeza ladha na harufu nzuri kwenye chakula)
JINSI YA KUPIKA
1)bandika sufuria jikoni weka mafuta ya kula kidogo sana kwaajili ya kukaanga kitunguu tu yakipata moto weka kitunguu maji kaanga kikianza kulegea na kubadilika rang weka kitunguu swaumu kaanga hadi viwe rangi ya brown
2) Weka pilau masala pamoja na binzari nyembamba na iriki changanya kidogo
Kisha weka Viazi na nyama
3) Changanya Kwa dakika 3 Kisha weka Tui la Nazi kiasi kulingana na mchele wako weka chumvi koroga uchanganye vizuri kisha acha Tui lichemke
4) Vikichemka weka mchele wako koroga uchanganye funika subiri ukauke
5) Ukishakauka punguza moto acha kidogo Kisha utageuza utaacha Tena kidogouive vizuri, pilau itakuwa tayari
Kinachofata ni kuandaa kachumbari na soda 😄😍😍
Karibuni Kwa nyongeza na maoni
View attachment 2948308
View attachment 2948310
Umesahau unga. Kuna malaya nilimsikia akisemaNatumaini mko poa,hongereni Kwa maandalizi ya sikukuu
Leo nimeandaa recipe ya pilau tamu la Nazi,karibun tujifunze
MAHITAJI
1)Mchele kilo moja.
2)Nyama iliyochemshwa Mimi nilitumia nusu
3)kitunguumaji,kata kata wastani
4)kitunguu swaumu kilichosagwa4)viaz mviringo vya wastani vitano.
5)pilaumasala
6)mafuta ya kupikia.
7)Tui la Nazi kulingana na mchele wako
8)iriki na binzari nyembamba,(Huwa natumia Ile halisi ili kuongeza ladha na harufu nzuri kwenye chakula)
JINSI YA KUPIKA
1)bandika sufuria jikoni weka mafuta ya kula kidogo sana kwaajili ya kukaanga kitunguu tu yakipata moto weka kitunguu maji kaanga kikianza kulegea na kubadilika rang weka kitunguu swaumu kaanga hadi viwe rangi ya brown
2) Weka pilau masala pamoja na binzari nyembamba na iriki changanya kidogo
Kisha weka Viazi na nyama
3) Changanya Kwa dakika 3 Kisha weka Tui la Nazi kiasi kulingana na mchele wako weka chumvi koroga uchanganye vizuri kisha acha Tui lichemke
4) Vikichemka weka mchele wako koroga uchanganye funika subiri ukauke
5) Ukishakauka punguza moto acha kidogo Kisha utageuza utaacha Tena kidogouive vizuri, pilau itakuwa tayari
Kinachofata ni kuandaa kachumbari na soda 😄😍😍
Karibuni Kwa nyongeza na maoni
View attachment 2948308
View attachment 2948310
Ni unga wa pilau ndio inaitwa pilau masalaAsante kwa recipe mkuu. Ila ungetutegulia kitendawili cha ''pilao masala'' ni nini, sisi washamba wengine tungefurahi zaidi. Yaani inatengenezwaje ili iwe nzuri. Unachanganya nini na kwa kiwango gani.
Asante mamii kwa Uzi huu mtamu ulioleta nimekumiss mno nina long time sijaingia jamiiforumNatumaini mko poa,hongereni Kwa maandalizi ya sikukuu
Leo nimeandaa recipe ya pilau tamu la Nazi,karibun tujifunze
MAHITAJI
1)Mchele kilo moja.
2)Nyama iliyochemshwa Mimi nilitumia nusu
3)kitunguumaji,kata kata wastani
4)kitunguu swaumu kilichosagwa4)viaz mviringo vya wastani vitano.
5)pilaumasala
6)mafuta ya kupikia.
7)Tui la Nazi kulingana na mchele wako
8)iriki na binzari nyembamba,(Huwa natumia Ile halisi ili kuongeza ladha na harufu nzuri kwenye chakula)
JINSI YA KUPIKA
1)bandika sufuria jikoni weka mafuta ya kula kidogo sana kwaajili ya kukaanga kitunguu tu yakipata moto weka kitunguu maji kaanga kikianza kulegea na kubadilika rang weka kitunguu swaumu kaanga hadi viwe rangi ya brown
2) Weka pilau masala pamoja na binzari nyembamba na iriki changanya kidogo
Kisha weka Viazi na nyama
3) Changanya Kwa dakika 3 Kisha weka Tui la Nazi kiasi kulingana na mchele wako weka chumvi koroga uchanganye vizuri kisha acha Tui lichemke
4) Vikichemka weka mchele wako koroga uchanganye funika subiri ukauke
5) Ukishakauka punguza moto acha kidogo Kisha utageuza utaacha Tena kidogouive vizuri, pilau itakuwa tayari
Kinachofata ni kuandaa kachumbari na soda 😄😍😍
Karibuni Kwa nyongeza na maoni
View attachment 2948308
View attachment 2948310
UnachanganyaAsante kwa recipe mkuu. Ila ungetutegulia kitendawili cha ''pilao masala'' ni nini, sisi washamba wengine tungefurahi zaidi. Yaani inatengenezwaje ili iwe nzuri. Unachanganya nini na kwa kiwango gani.
Kwakweli nilikuwa busy mno asante nimekaribiaNipo mbona best wew ndio umepotea aisee
Karibu sana
Unaonekana unajua sana kupika binafsi kupika siwezi kivile natamani niwe fundi sana kwenye hii sector utanisaidia mamii?Nipo mbona best wew ndio umepotea aisee
Karibu sana
Karibu sanaAweee hiyo coke 😋
Thank you 🙏👌Karibu sana
Chochote unachohitaji nicheck nitakusaidia
Ndiyo najua mkuu.Ila nilikuwa nazungumzia recipe yake. Unajua pilau inakuwa pilau kutokana na pilao masala. Kwa mtu mgeni anayetaka kuitengeneze achanganye na kutwanga nini, kwa kiasi gani. Najua kuna za kununua pia lakini hazipatikani sehemu zote.Ni unga wa pilau ndio inaitwa pilau masala
Ooh nitakuletea basi viungo vyote na namna ya kutengenezaNdiyo najua mkuu.Ila nilikuwa nazungumzia recipe yake. Unajua pilau inakuwa pilau kutokana na pilao masala. Kwa mtu mgeni anayetaka kuitengeneze achanganye na kutwanga nini, kwa kiasi gani. Najua kuna za kununua pia lakini hazipatikani sehemu zote.