Jinsi ya kupika pilau tamu la Nazi

Jinsi ya kupika pilau tamu la Nazi

Mama wa hekaheka
Wali wa sikukuu ndo huo😀
Asante kwa recipe mkuu. Ila ungetutegulia kitendawili cha ''pilao masala'' ni nini, sisi washamba wengine tungefurahi zaidi. Yaani inatengenezwaje ili iwe nzuri. Unachanganya nini na kwa kiwango gani.
 
Natumaini mko poa,hongereni Kwa maandalizi ya sikukuu

Leo nimeandaa recipe ya pilau tamu la Nazi,karibun tujifunze

MAHITAJI
1)Mchele kilo moja.
2)Nyama iliyochemshwa Mimi nilitumia nusu
3)kitunguumaji,kata kata wastani
4)kitunguu swaumu kilichosagwa4)viaz mviringo vya wastani vitano.
5)pilaumasala
6)mafuta ya kupikia.
7)Tui la Nazi kulingana na mchele wako
8)iriki na binzari nyembamba,(Huwa natumia Ile halisi ili kuongeza ladha na harufu nzuri kwenye chakula)

JINSI YA KUPIKA
1)bandika sufuria jikoni weka mafuta ya kula kidogo sana kwaajili ya kukaanga kitunguu tu yakipata moto weka kitunguu maji kaanga kikianza kulegea na kubadilika rang weka kitunguu swaumu kaanga hadi viwe rangi ya brown

2) Weka pilau masala pamoja na binzari nyembamba na iriki changanya kidogo
Kisha weka Viazi na nyama

3) Changanya Kwa dakika 3 Kisha weka Tui la Nazi kiasi kulingana na mchele wako weka chumvi koroga uchanganye vizuri kisha acha Tui lichemke

4) Vikichemka weka mchele wako koroga uchanganye funika subiri ukauke

5) Ukishakauka punguza moto acha kidogo Kisha utageuza utaacha Tena kidogouive vizuri, pilau itakuwa tayari
Kinachofata ni kuandaa kachumbari na soda 😄😍😍

Karibuni Kwa nyongeza na maoni

View attachment 2948308
View attachment 2948310
Aaliyyah Kila siku unanisuprise na mapishi matamu matamu.
 
Natumaini mko poa,hongereni Kwa maandalizi ya sikukuu

Leo nimeandaa recipe ya pilau tamu la Nazi,karibun tujifunze

MAHITAJI
1)Mchele kilo moja.
2)Nyama iliyochemshwa Mimi nilitumia nusu
3)kitunguumaji,kata kata wastani
4)kitunguu swaumu kilichosagwa4)viaz mviringo vya wastani vitano.
5)pilaumasala
6)mafuta ya kupikia.
7)Tui la Nazi kulingana na mchele wako
8)iriki na binzari nyembamba,(Huwa natumia Ile halisi ili kuongeza ladha na harufu nzuri kwenye chakula)

JINSI YA KUPIKA
1)bandika sufuria jikoni weka mafuta ya kula kidogo sana kwaajili ya kukaanga kitunguu tu yakipata moto weka kitunguu maji kaanga kikianza kulegea na kubadilika rang weka kitunguu swaumu kaanga hadi viwe rangi ya brown

2) Weka pilau masala pamoja na binzari nyembamba na iriki changanya kidogo
Kisha weka Viazi na nyama

3) Changanya Kwa dakika 3 Kisha weka Tui la Nazi kiasi kulingana na mchele wako weka chumvi koroga uchanganye vizuri kisha acha Tui lichemke

4) Vikichemka weka mchele wako koroga uchanganye funika subiri ukauke

5) Ukishakauka punguza moto acha kidogo Kisha utageuza utaacha Tena kidogouive vizuri, pilau itakuwa tayari
Kinachofata ni kuandaa kachumbari na soda 😄😍😍

Karibuni Kwa nyongeza na maoni

View attachment 2948308
View attachment 2948310
Umesahau unga. Kuna malaya nilimsikia akisema
 
Natumaini mko poa,hongereni Kwa maandalizi ya sikukuu

Leo nimeandaa recipe ya pilau tamu la Nazi,karibun tujifunze

MAHITAJI
1)Mchele kilo moja.
2)Nyama iliyochemshwa Mimi nilitumia nusu
3)kitunguumaji,kata kata wastani
4)kitunguu swaumu kilichosagwa4)viaz mviringo vya wastani vitano.
5)pilaumasala
6)mafuta ya kupikia.
7)Tui la Nazi kulingana na mchele wako
8)iriki na binzari nyembamba,(Huwa natumia Ile halisi ili kuongeza ladha na harufu nzuri kwenye chakula)

JINSI YA KUPIKA
1)bandika sufuria jikoni weka mafuta ya kula kidogo sana kwaajili ya kukaanga kitunguu tu yakipata moto weka kitunguu maji kaanga kikianza kulegea na kubadilika rang weka kitunguu swaumu kaanga hadi viwe rangi ya brown

2) Weka pilau masala pamoja na binzari nyembamba na iriki changanya kidogo
Kisha weka Viazi na nyama

3) Changanya Kwa dakika 3 Kisha weka Tui la Nazi kiasi kulingana na mchele wako weka chumvi koroga uchanganye vizuri kisha acha Tui lichemke

4) Vikichemka weka mchele wako koroga uchanganye funika subiri ukauke

5) Ukishakauka punguza moto acha kidogo Kisha utageuza utaacha Tena kidogouive vizuri, pilau itakuwa tayari
Kinachofata ni kuandaa kachumbari na soda 😄😍😍

Karibuni Kwa nyongeza na maoni

View attachment 2948308
View attachment 2948310
Asante mamii kwa Uzi huu mtamu ulioleta nimekumiss mno nina long time sijaingia jamiiforum
 
Asante kwa recipe mkuu. Ila ungetutegulia kitendawili cha ''pilao masala'' ni nini, sisi washamba wengine tungefurahi zaidi. Yaani inatengenezwaje ili iwe nzuri. Unachanganya nini na kwa kiwango gani.
Unachanganya
Binzari nyembamba
Mdalasini
Pilipili mtamu kidogo
Iriki
Iliyosagwa kabisa Huwa natumiaga hii
Screenshot_2024_0330_114723.png
 
Ni unga wa pilau ndio inaitwa pilau masala
Ndiyo najua mkuu.Ila nilikuwa nazungumzia recipe yake. Unajua pilau inakuwa pilau kutokana na pilao masala. Kwa mtu mgeni anayetaka kuitengeneze achanganye na kutwanga nini, kwa kiasi gani. Najua kuna za kununua pia lakini hazipatikani sehemu zote.
 
Kumbe watu mnaweza mpaka kupika pilau la nazi,hamsemi.. kumbukeni wimbo wa q chief anachokipata anagawana na wenzie. Ila sio nyie wakina mama cha uchoyo, mnaona mkitukaribisha sisi ndugu zenu tutanenepa kwa hayo mapilau yenu ya nazi.

😂😂😂😂 nakusalimu ndugu yangu kipenzi.
 
Ndiyo najua mkuu.Ila nilikuwa nazungumzia recipe yake. Unajua pilau inakuwa pilau kutokana na pilao masala. Kwa mtu mgeni anayetaka kuitengeneze achanganye na kutwanga nini, kwa kiasi gani. Najua kuna za kununua pia lakini hazipatikani sehemu zote.
Ooh nitakuletea basi viungo vyote na namna ya kutengeneza
 
Back
Top Bottom