Jinsi ya kupika Visheti

Mbona vinakuwa vigumu tofauti na vile vya mtaani vinakuwa lainii na sukari yake hadi raha sema vinavutika km mpira.

Msinichoke mpishi mm

Kuna visheti vya aina 2. Kuna hivyo vigumu, vinakua vidogo vidogo. Na kuna hivyo unosema ambavyo kavitaja farkhina hapo vya namba 8 au shape si lazima vinakua vikubwa kama doughnut hivyo hukandwa kwa nazi Na vinakuwa vilaini. Lkn katika uwekaji wa shira ni kama hivyo vidogo.

Mi sijui vinavopikwa maana tumezoea sana kununua. Hivyo vidogo ndo watu wengi wanapika nyumbani vya kutafuna Na kahawa jioni, jioni. Au hata kutoa sadaka kwa wtt au miskitini.
 
Last edited by a moderator:
Mmmhu. Mi juzi juzi nlimpigia mtu usiku nkamuulizia visheti vya namba nane. Mie huita masheti. Nashkuru siku ya pili asubuhi kaniletea.

Sijui hata kavinunua wapi, havikua vizuri sana

Hahahaha visheti kutamani usiku alafu hadi hupiga simu? Mambo mazuri Nini? Lol
 
Ngoja nijifunze kutengeneza Number 8. Kumbe Dili 🙂 🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…