Nenda mwambao opposite na stand ya dar expressKwa wakazi wa mkoa wa Arusha ..wapi naweza kupata wali wa biriani mzuri na nyama nzuri either ya ngo'mbe au kuku.
View attachment 1089504
Cafe la aziz ilikufa siku nyingi mkuuCafe la aziz pale karibu na msikiti??
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Nenda Shivaz pale huwezi kukosa
Kwa wakazi wa mkoa wa Arusha ..wapi naweza kupata wali wa biriani mzuri na nyama nzuri either ya ngo'mbe au kuku.
View attachment 1089504
[emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377]Arusha na biriani wapi na wapi labda uulize bangi.
Kwa hiyo wao hushiba na kuishi kwa kunywa pombe na kutafuna miraa?Wao ni bangi ugoro pombe kali na mirungi
Kuna baadhi ya vyakula kwao sio machaguo yaoKwa hiyo wao hushiba na kuishi kwa kunywa pombe na kutafuna miraa?
Kwa wakazi wa mkoa wa Arusha ..wapi naweza kupata wali wa biriani mzuri na nyama nzuri either ya ngo'mbe au kuku.
View attachment 1089504
duuuh, kupatwa kwa threadIphone 6s plus
64gb storage
Gold color
570,000tsh
Hyo ya juu protector
Call 0687418839View attachment 1091328
Hivi pangani ni ile mitaa ya meru primary School?Nenda mtaa wa pangani kule siku ya ijumaa kuna hotek nyingi tu wanapika hilo birian.
Ndio, na hata ukienda mitaa ya bondeni unalipata siku za ijumaa ndio hupikwa kwa wingi sana.Hivi pangani ni ile mitaa ya meru primary School?
Ok santeNdio, na hata ukienda mitaa ya bondeni unalipata siku za ijumaa ndio hupikwa kwa wingi sana.