Jinsi ya kuruka mitego ya wanawake

Jinsi ya kuruka mitego ya wanawake

Gaddaf i06

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2022
Posts
1,770
Reaction score
2,841
Wanaume..!

anapotokea mwanamke mbele yako, akajilengesha lengesha ili akunase na ukanasika unajionaje?
kuingia kwenye mtego wa mwanamke ambae hukumtaka huu ni udhaifu[emoji848]

wanaume sasahivi tunatongozwa kwa wingi kuliko tunavyotongoza!

unaweza kuishi na mwanamke karibu yako miaka miwili bila kumgusa?

utafanya nini ili mwanamke yeyote akose ujasiri wa kukutongoza kwa vyovyote?

mwisho kabisa: kama ilivyo wakati mwingne unatongoza mwanamke anakataa, wewe umeshawahi kumkataa mwanamke aliyekutongoza?
[emoji4][emoji4]

lengo la mada ni kwamba: nini kifanyike kuepuka vishawishi vya hawa viumbe?
maana si kwa mitego hii
 
Usiwe romantic... usiwe muongeaji... usiwe entertainer ukiwa mbele yao... kuwa mbahili...

fanya haya ukiwa mbele ya mwanamke yeyote unayeona anatongozesha kwako!
Kufanya hivyo ataboreka mbele yako, atakosa cha kumvutia kwako na kukuchukulia poa na kukupotezea...maana anaweza akavutiwa au akatamani pesa zako, ucheshi wako, usmart wako n.k...
 
Mhhhh!! Naona Mzee Makamba na yule jamaa wa Ethiopia wametuvuruga kabisa wananchi.
 
Umekaa zako sehemu peke yako, hutaki usumbufu, kimdada kinakuja na kukaa umbali 0 ,na kuanza kujichekesha[emoji16]
 
Usiwe romantic... usiwe muongeaji... usiwe entertainer ukiwa mbele yao... kuwa mbahili...

fanya haya ukiwa mbele ya mwanamke yeyote unayeona anatongozesha kwako!
Kufanya hivyo ataboreka mbele yako, atakosa cha kumvutia kwako na kukuchukulia poa na kukupotezea...maana anaweza akavutiwa au akatamani pesa zako, ucheshi wako, usmart wako n.k...
safi
 
Back
Top Bottom