Jinsi ya kusafirisha bidhaa toka Dar kwenda Zanzibar

Jinsi ya kusafirisha bidhaa toka Dar kwenda Zanzibar

abby abdy

Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
42
Reaction score
40
Naomba msaada kwa wenye uzoefu wa kusafirisha bidhaa toka Dar kwenda Zanzibar.

Sijajua kama bandar ya Zanzibar ina maushuruengi kama ya Dar au laa, mimi nataka kusafirisha mayai naya-park vizuri katika box nayafunga vizuri so yanakua packed kwenye boksi.

Ila nisaidieni jinsi ya kutoa mzigo hapo bandarini Zanzibar kama ni ngumu au ni rahisi kidogo.
 
Vizuri zaidi ukienda ofisini wakupe utaratibu. Ila sidhani kama kuna ugumu, hasa Azam marine nilishawahi ona mtu akishusha mizigo ya hardware bandari ya Zanzibar kutoka Azam Marine
 
Vizuri zaidi ukienda ofisini wakupe utaratibu. Ila sidhani kama kuna ugumu, hasa Azam marine nilishawahi ona mtu akishusha mizigo ya hardware bandari ya Zanzibar kutoka Azam Marine
hapa utaratbu nshaupata ila kule ndio cjajua ...kama wapenda pesa kama hawa wa dar .ambao ata kijiko kikitoka znz wanaeza kukwambia ulipie laki bila hata chembe ya aibu
 
Kama hautapata jibu hapa nenda physically bandari ya Zanzbar kawaulize.
 
hapa utaratbu nshaupata ila kule ndio cjajua ...kama wapenda pesa kama hawa wa dar .ambao ata kijiko kikitoka znz wanaeza kukwambia ulipie laki bila hata chembe ya aibu

Hahahahahaha! kaka unaanza utani sasa mpaka kijiko? Nisha wahi safiri na baiskeli ya mwanangu na sija tozwa hata
 
hahaaa ...ulileta dar au ulipeleka znz
Niliitoa Zanzibar kuleta Dar na sio tu baiskeli tulibeba blender, pasi na piece of pampers! kama hujapata ufumbuzi kesho naenda Dar from Zanzibar nikifika bandarini ntakuulizia ila useme hapa Quantity ya hayo mayai ili niulize direct question
 
Hahahahahaha! kaka unaanza utani sasa mpaka kijiko? Nisha wahi safiri na baiskeli ya mwanangu na sija tozwa hata
Unabahati ushukuru kuna watu wanapitaga na vyombo vya mahotelini wanachajiwa apo dar kweli adi kijiko
 
Hao watu wanadai kodi hadi nguo alizotunzwa bibi harusi na wifi zake.
 
Niliitoa Zanzibar kuleta Dar na sio tu baiskeli tulibeba blender, pasi na piece of pampers! kama hujapata ufumbuzi kesho naenda Dar from Zanzibar nikifika bandarini ntakuulizia ila useme hapa Quantity ya hayo mayai ili niulize direct question
niulizie ndugu ...uko zanzibar ..kama unatakiwa ushuru au kawaida tu unashusha mzigo ...maana dar bandar ya apa ...ni pesa tuu cjajua na uko inakuaje

Sent from my V11 using JamiiForums mobile app
 
namimi naomba kuuliza nikileta sukari na vyombo vya umeme kutoka zanzibar kuja dar utapata faida
 
  • Thanks
Reactions: amu
Back
Top Bottom