Parrot_2024
Member
- Dec 16, 2017
- 63
- 28
Changamoto iko kwenye freight cost, iko juu kwa items zenye uzito mkubwa.Nimekuwa naona vitu vingi vya quality kama TV, Fridge, bedroom furniture, dinning furniture and vitu vidogo vizuri online kutoka website kama craigslist na ebay kwa bei rahisi na nimevutiwa na hiyo biashara sana!
Ghalama za ushuru/ vat hujulikana baada ya mzigo kufika nchini.kujuwa kabisa ushuru mpaka ifike TZ itakuwa bei gani?
Asante kwa kunijibu, kama ntahtaji nisafirishe TV tu freight cost yake pia itakuwa bei sana? Na tatizo ni weng wanouza vitu vya used hawafanyi dilivery ndo kitu kingine nachowazaChangamoto iko kwenye freight cost, iko juu kwa items zenye uzito mkubwa.
Waweza pitia hii thread yangu: www.bit.ly/101buy4me
Karibu
Kinachokuchekesha nn haswa? Ulaya na UK nchi tafauti kimekuchekesha nini! Kama hauna kitu cha maana kuongeia bora uniamazeKwamba kutoka ulaya na UK [emoji23][emoji23][emoji23]
Kinachokuchekesha nn haswa? Ulaya na UK nchi tafauti kimekuchekesha nini! Kama hauna kitu cha maana kuongeia bora uniamaze
Unaweza kufungua "anuani" yako mfano ya Marekani ambapo delivery itafanyika, na hao watakutumia popote ulipo duniani. Click hiyo link kwa maelezo zaidi. Shipping cost ndo tatizo, huwa ni kubwa.Asante kwa kunijibu, kama ntahtaji nisafirishe TV tu freight cost yake pia itakuwa bei sana? Na tatizo ni weng wanouza vitu vya used hawafanyi dilivery ndo kitu kingine nachowaza