Lazima uombe kibali cha kusafirisha hao wadudu. Lasivyo wakikudaka utajuta kujuana na huyo mzungu aliyekutuma.Hapana mkuu, nataka kufahamu kwanza process nzima.
U made ma day [emoji16]Hata hawa mbu wa Malaria ukitaka kuona serikali ina uchungu nao waweke kwenye mabosksi na uwapekele nje ya nchi.
Watakukamata kwa kusafirisha nyara za serikali.
Serikali ina mambo kweli, pata dili la hao mbu na uwasafirishe utasikia ni nyara za serikali.
Anzia maliasiliHapana mkuu, nataka kufahamu kwanza process nzima.
seneneKama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Mimi ni mjasiriamali ambaye afanya biashara mtandaoni. Juzi nimepata mteja ambaye anahitaji bidhaa tofauti na zile ambazo nimekuwa nikiziuza. Jamaa yupo California na anahitaji panzi. Yes, anahitaji panzi kwa ajili ya research yake. Swali ni Je, njia gani nzuri ambayo naweza kutumia kumtumia panzi hao ambayo itakuwa ya haraka kiasi kwamba anawahitaji wakiwa wazima.
Wenye uzoefu wa kutuma na kupokea mizigo kutoka America, nahitaji msaada wenu!!
Serikali ina mambo kweli, pata dili la hao mbu na uwasafirishe utasikia ni nyara za serikali.
Jamani ameomba utaratibuHauna tofauti na wanaotorosha madini