Jinsi ya kushauri mabinti wasishiriki ngono

Jinsi ya kushauri mabinti wasishiriki ngono

hivi binti ambaye hajawai kufanya mapenzi kabisaa hizo.............zinatoka wapi kwa mfano?kama sio vile anakaa na wenzie anawasikiliza na yeye anakuwa na tamaa tu yakutaka kujua na kule kujua ndio huko kuharibika
unataka kusema kuwa bikra hawanya nyege? thubutuu.. tena wao ndio wanawashwa sana...natamani nikuulize swali ila unaweza ukadhani nimekudhalilisha anyaway , nawaheshimu wote hata mlea mada pia i respect her
 
hivi binti ambaye hajawai kufanya mapenzi kabisaa hizo.............zinatoka wapi kwa mfano?kama sio vile anakaa na wenzie anawasikiliza na yeye anakuwa na tamaa tu yakutaka kujua na kule kujua ndio huko kuharibika
ni kweli kama hujawai kufanya ni ngumu kupata tamaa ila ukifutilia na kuwaza hilo jambo lazima utende
 
unataka kusema kuwa bikra hawanya nyege? thubutuu.. tena wao ndio wanawashwa sana...natamani nikuulize swali ila unaweza ukadhani nimekudhalilisha anyaway , nawaheshimu wote hata mlea mada pia i respect her
uliza tu wala usijali
 
Tatizo la kugegedana mapema kwa watoto wa kike inatokana hamu kubwa ambayo kwa wao ni wageni kuweza kuizuia, cha msingi 'mzazi, dada au kaka sema nae kuhusu kusubiri', madhara ya kuanza kugegedana mapema ni kupoteza umakini kwenye masomo.
 
Tatizo la kugegedana mapema kwa watoto wa kike inatokana hamu kubwa ambayo kwa wao ni wageni kuweza kuizuia, cha msingi 'mzazi, dada au kaka sema nae kuhusu kusubiri', madhara ya kuanza kugegedana mapema ni kupoteza umakini kwenye masomo.
vitoto vya siku hizi vitajua unavidanganya
 
kuna msemo unaosema maji yakizoleka hayamwagiki! Mimi ni muhanga wa hiyo methali, huwa najuta sana kwanini nilikuwa na mahusiano na bwana yule ila ni too late.

Sasa kwenye familia kuna mabinti wanapevuka wapo sec, wapo vyuo. Natamani wanielewe wasikubali kugegedwa, natamani niwe hata na password ya papuchi zao ila ndo hivo maamuzi yote yapo juu yao.

Je wadau kama upo na teenager unamshawishi vipi ili asipotee? Kuna kabinti kapo UD ana miaka 22 juzi amegegedwa wala haoni issue anaringa kabisa eti finnaly amemkiss na kuliwa na mwanaume kwa mara ya kwanza. Roho imeniuma kidogo nife maana mtoto mwenyewe sasa. Basi tu.
Mkuu huwez kumiliki papuchi zaidi ya moja na ukipewa mbili zitakusumbua,sasa basi kumshauri mueleze faida na madhara ya kugegedwa,motto akililia wembe utoe kwenye pakiti yake umuonyeshe makali kuwa yapo kotkote aamue yeye mwenyewe!Afu mkuu tutumie picha yake hahaha
 
kuna msemo unaosema maji yakizoleka hayamwagiki! Mimi ni muhanga wa hiyo methali, huwa najuta sana kwanini nilikuwa na mahusiano na bwana yule ila ni too late.

Sasa kwenye familia kuna mabinti wanapevuka wapo sec, wapo vyuo. Natamani wanielewe wasikubali kugegedwa, natamani niwe hata na password ya papuchi zao ila ndo hivo maamuzi yote yapo juu yao.

Je wadau kama upo na teenager unamshawishi vipi ili asipotee? Kuna kabinti kapo UD ana miaka 22 juzi amegegedwa wala haoni issue anaringa kabisa eti finnaly amemkiss na kuliwa na mwanaume kwa mara ya kwanza. Roho imeniuma kidogo nife maana mtoto mwenyewe sasa. Basi tu.
Hakunaga tunda linaloiva likabaki mtini na mabichi,,,!!!
 
ni bora umkabidhi box la CONDOMU tuu...vijana wengi huwa hawakubari kitu mpaka waone madhara yake. kikubwa ni sisi wenyewe tu kutokuwa makini maana enzi hizo kwa mtu mwenye umri huo angekuwa ameshaolewa...kwa kufuata western education...tumejikuta tunawaacha watoto wetu wasome huku tukisahau kuwa kuna matamanio kwenye miili yao...na kwakuwa hakuna maandishi yanayokataza mwanafunzi asiolewe ili kuepuka hayo naona ni bora ata kama mtoto atakuwa anasoma lakini umri wake wa kuolewa umefika bora aolewe uku anasoma....si vitabu vya dini tunavyoviamini havijakataza?
 
kuna msemo unaosema maji yakizoleka hayamwagiki! Mimi ni muhanga wa hiyo methali, huwa najuta sana kwanini nilikuwa na mahusiano na bwana yule ila ni too late.

Sasa kwenye familia kuna mabinti wanapevuka wapo sec, wapo vyuo. Natamani wanielewe wasikubali kugegedwa, natamani niwe hata na password ya papuchi zao ila ndo hivo maamuzi yote yapo juu yao.

Je wadau kama upo na teenager unamshawishi vipi ili asipotee? Kuna kabinti kapo UD ana miaka 22 juzi amegegedwa wala haoni issue anaringa kabisa eti finnaly amemkiss na kuliwa na mwanaume kwa mara ya kwanza. Roho imeniuma kidogo nife maana mtoto mwenyewe sasa. Basi tu.
Kwa hiyo ulitaka ugegedwe wewe au ulitaka iweje yani?????????????
 
kuna msemo unaosema maji yakizoleka hayamwagiki! Mimi ni muhanga wa hiyo methali, huwa najuta sana kwanini nilikuwa na mahusiano na bwana yule ila ni too late.

Sasa kwenye familia kuna mabinti wanapevuka wapo sec, wapo vyuo. Natamani wanielewe wasikubali kugegedwa, natamani niwe hata na password ya papuchi zao ila ndo hivo maamuzi yote yapo juu yao.

Je wadau kama upo na teenager unamshawishi vipi ili asipotee? Kuna kabinti kapo UD ana miaka 22 juzi amegegedwa wala haoni issue anaringa kabisa eti finnaly amemkiss na kuliwa na mwanaume kwa mara ya kwanza. Roho imeniuma kidogo nife maana mtoto mwenyewe sasa. Basi tu.
Kwa hiyo ulitaka ugegedwe wewe au ulitaka iweje yani?????????????
 
Mavazi yao na shepu zao watoto wa siku hizi ni vigumu sana kuhimili vishawishi vya fisi wenye uchu.

Wanawake ama mabinti wao ndo wameshika mpini, wakijua thamani yao wakakubali ushauri mzuri na wakajistiri maungo yao wananafasi kubwa ya kushinda vishawishi.
 
kuna msemo unaosema maji yakizoleka hayamwagiki! Mimi ni muhanga wa hiyo methali, huwa najuta sana kwanini nilikuwa na mahusiano na bwana yule ila ni too late.

Sasa kwenye familia kuna mabinti wanapevuka wapo sec, wapo vyuo. Natamani wanielewe wasikubali kugegedwa, natamani niwe hata na password ya papuchi zao ila ndo hivo maamuzi yote yapo juu yao.

Je wadau kama upo na teenager unamshawishi vipi ili asipotee? Kuna kabinti kapo UD ana miaka 22 juzi amegegedwa wala haoni issue anaringa kabisa eti finnaly amemkiss na kuliwa na mwanaume kwa mara ya kwanza. Roho imeniuma kidogo nife maana mtoto mwenyewe sasa. Basi tu.
Hakikisha unawanyang'anya papuchi zao kabla hawajatoka nyumbani..... uwarudishie wakati wa kulala tu..
 
Back
Top Bottom