Jinsi ya kushauri mabinti wasishiriki ngono

[emoji2] [emoji1] [emoji1] umenikumbusha hapa shuleni ninapofundisha, yaani pamoja na beat zote tunazowapiga lakini unashangaa baada ya muda mfupi kabinti kanaanza kukuchekea chekea.
Una hamu ya kuwekwa nyuma ya nondo wewe..
 
Hapana, kufanya sex ni nature tu. Hata ukiwafungia mapacha wawili jinsia tofauti ndani pasi kuwaambia chochote kile umri ukifika watafanya tu. Ni kama ununuavyo wanyama na kuwafuga huwafundishi kufanya, asili itafanya kazi yake.
Ndo hivyo, watu wanasahau tu hata wao hawakufundishwa na mtu. Mimi mwenywe sikuwahi shuhudia mtu akifanya lakini nilipo balehe nilijikuta niki pull na ku push. Hiyo ni nature
 
gegeda mkuu, hayo ndo marupurupu yako
Tatizo huku yanapigwa na watu wengi hivyo likpata mimba hivyo anaweza mtaja yoyote ikiwepo mimi, sasa hapo unajua nini kinaweza nipata. Miaka 30 si mchezo eti umebaka wakati nilikuwa natoa msaada.
 
Daaa....ni ntihani mzito kwa ss wenye mabinti ila bado cjaona ushauri wa jinsi gani....
Nadhani ni kuwalea kwa hekima na uwazi huku ukiwajenga kuwa hofu ya Mungu
Muwaogopeshe kuwa midume mingine ina midushe mikubwa hivyo itawachania naniliu zenu, hivyo wasubiri angalau wafikishe miaka 20 hivi ndo hawatapata madhara.
 
Kwangu mimi ushauri kwa kila mdada amabye amefikia umri wa kuweza kuhimili ndoa na nafasi aliyonayo ikawa inamruhusu basi kuoelewa kwake ni bora ili kulinda heshima yake na thaman yake kwa ujumla.
Kuliko kujichelewesha kuolewa kwa udhuru wa kutengeneza wakati huo unahitaji tendo jambo ambalo litakupelekea kufanya machafu.
Kwa wale kweli nafasi zai haziwaruhusu kuolewa kam vile madada wa secondary schools na high level lazuma wajifungamanishe vizur na Mungu na wajue kwamba zinaa ni moja katika matendo yanayomchukiza mungu.
Nadhan itakua kinga bora na imara kwake.
Lakini hili ni jambo la kimalezi zaidi ikiwa mzazi atajitahid kumkea bint yake katika malezi ya maadili ya kidini na iman kwa asilimia kubwa ataweza kumsaidia bint yake.
Tukija kwa ambao tayar washaanza hiyo michezo, wewe bint ona haya basi hata kidogo hivi ni kweli unaona wepesi kuvua nguo zako na kumuonesha uchi wako mwanaume. Hivi unajuskiaje unaande kwa mumeo tayar ushakutana na wanaume kimwli huko nyuma? Mume nae atajiskiaje?
Pili wazishimanize vzr akili zao sio kukubali kuongopewa kizembe kizembe tu na mtu namna gan ww bint
 
Well said...watu wanasahau kuwakuza watoto kiimani..watengeneze watoto wawe ni wenye hofu na Mola wao,,mabinti wajitunze na wajue thamani ya kujitunza..play ur part kama mzazi!!! Na hii elim inatudanganya mnoooo..mtu anakwambia hawezi kuolewa anasoma lakini kugegedana bingwa na wengine abortions juu..umri ukifika binti ukipata Wa kukuoa uolewa hata kama ndo umemaliza form six!
Kama hutaki kuolewa unaona bado basi na miguu uifunge iseme badoooo..
 
Then kuna jamaa wengine hawana aibu kabisa yani.
Kuna hoja flani hiv kwang mim inafanya kazi vzr ila wengine wenye akili mbovu hua haiwaingii.
Ni kwamba huyo binti ana wazazi na brothers ambao hawapendi bint yao afanyiwe hayo.
Basi waza hata kidg kwamba wewe pia unamtoto au unadada ambar pia unafanya juhudi kubwa kumchunga then kuna boya anakuja kumlagahai kizembe tu.
Ogopa basi na wako asije kufanyiwa kama hayo umafanya kwa wawenzako
 
jf kuna wanafiki wengi na wewe ni malkia wao, MNAFIKI wewe ina maana iyo k yako haisuguliwi kila mwez Miss Natafuta
 
Wew unaujua uthaman wako...weka vivd evidenc tuhakik unachoshauri..
 
sawa mamy nimekupata
Unaniitaje Mamy?Dah Umenikosea Sana. Ina Maana Hukusoma My Post Ukaelewa. Umenikwaza Sana,Usirudie Tena Kama Ni Muungwana Nahitaji Ubadili Kauli Maombi Ya Msamaha. Hivi Katika Majina Yangu Umeona Lolote Linaloindicate Jinsia Ya Kike?We Dada Naona Mko Team Moja. Umenikera Sana Yani Sina Tu Jinsi Ya Kukuadhibu.
 
Waambie wafanye kwa tahadhar ila kuzuia nature hutaweza umri wao kujizuia ni kitu kigumu mno, kwa sababu wako chuo ndio unaweza kuona wanafanya makosa lakini ukifuatilia wenzao walioko umri mmoja ambao hawakaufaulu kufika chuo hutaambulia bikra hata ya kuchovya. Wengi wameolewa na familia zao au wana watoto wanalea.

BTW,
Wanawake wanajishusha hadhi sana wenyewe, yaani mwanamke kufanya mapenzi anaona kadhalilishwa, kaonewa au kasurubiwa..! Kama umri unaruhusu tafuta mtu mpange mipango yenu acha kulalamika.. Come on girls hiyo ni nature be proud to be a part of this sweetness project on earth. [emoji7]
 
am sorry soryy sijui nilikuwa nawaz nini ila ujue tu sikukusudia kukuita hivyo nisamehe bure bila faini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…