Jinsi ya kushiriki kuichangia Yanga kupitia mpesa,tigo pesa na airtel money

Jinsi ya kushiriki kuichangia Yanga kupitia mpesa,tigo pesa na airtel money

Hivi Hawa Mabakuli FC bado wanaendelea na huu utaratibu?
 
Tutachanga tu hakuna waswas na tunajua mtaiga tu si mda mrefu. Tulikua tunasubir kwa hamu huu utaratibu

ngoja nichangie
yaan shombo za wana simba ndio zimenihamasisha nichangie hapa.
najua nao hawatavumilia wata iga tuu si mda


Awaige Nani Anekula Nyasi Kama NdalaFC?

Mapato Ya Siku Moja Tu Yanayopatikana Kwenye SimbaDay Yanazidi Michango Yenu Ya Miaka 10.
Ni Bora Mungeliiga Nyinyi Kwa Kuanzisha YangaDay ili mupate Mapato Ya Uhakika na sio Haya ya Kutembeza Bakuli.
 
mtakula nyasi round hii

Awachangie nani nyie si wakimataifa?
Wenzako wanaanzisha mikakati ya kujitegemea. Wewe unaendelea kulala usingizi na kumsubiri Mo. Siku ikikata kamba si itakuwa afadhali yanayotokea Yanga sasa. Maana wachezaji watakuwa walizoea kupiga mboga 8 (Draft) wakianza kupewa mbegu chuku chuku (Maharage) na ugali kutakuwa na Timu hapo Msimbazi?
 
mie nilishawahi kuwaambia mtengeneze vitu vyenu,fans club yenu t-shirts,mikoba,saa etc muuze,hivi mnadhania kuna mtanzania atatoa hela yake hivi hivi,hatuna utamaduni huo labda kwenye harusi,lol
Yanga yetu tunaichangia na harusi tutachangia. Tutaanza na harusi ya Haji Manara aliyeahidi kuoa endapo Simba Koko angechukua ubingwa.
 
Nichangie timu inashika mkia kwenye kundi club bingwa Africa!!!
 
Wenzako wanaanzisha mikakati ya kujitegemea. Wewe unaendelea kulala usingizi na kumsubiri Mo. Siku ikikata kamba si itakuwa afadhali yanayotokea Yanga sasa. Maana wachezaji watakuwa walizoea kupiga mboga 8 (Draft) wakianza kupewa mbegu chuku chuku (Maharage) na ugali kutakuwa na Timu hapo Msimbazi?
Mjini mambo ya kusaidiana hayapo yaani unafuga mbwa chakula unategemea kwa jirani??
 
Back
Top Bottom