Mr Makunduchi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 995
- 492
Olewenu Leo ninyonye chuchu yenye alovera mtanitambuwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YASIMAME ILI IWEJE! YAANI MNA SHIDA NYIE HALAFU KILA SIKU MNATUCHEKA VIBAMIA KUMBE NA NYIE MNA MATATIZO YENUWanawake wengi nyonyo zao zimelala wengine inatokana na sababu ya kunyonyesha na wengine ni maumbile yao tu ndivyo yalivo.
Kwa wewe dada ambaye nyonyo tits zimelala na unataka zisimame fanya haya yafuatayo
Kila siku usiku chukua alovera then ikate ili kupata ile gel baada ya hapo pakaa hiyo gel kwenye chuchu hakikisha unapakaza chuchu yote,fanya hivi daily hadi utapoona na kuridhika na matokeo.
NB:
Usifanye hivo ukiwa unanyonyesha sababu alovera ni chungu na ukali wake haupotei haraka hivo inaweza pelekea mtoto kukataa kunyonya so kama unanyonyesha subiri umalize kwanza ndo uanze kufanya hii kitu.
Msisahau mrejeshoooooooo
Hivi kumbe bado umo eehehh...!??Ahahahaaaaaa hili somo halinihusu maana sijafanikiwa kunyonyesha voluntarily or accidentally [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Embu niache mie
hiii ni kweliii kabisaa..wakati nakua niliambiwa usivae vitop vinalaza maziwa mimi nilikuwa mvaaji mzuri lakini mpaka leo yapo dede..Maziwa kulala ni kama kuku akienda kwa mganga harudi kamwe! unless ukalifanyie upasuaji.
hasa ndugu mwanamke hamalizi kunyinyesha akilala mtoto ananyonya mwenye nyonyo yake hapo atasubiri sana. mi naona atafute njia mbadalaWanawake wengi nyonyo zao zimelala wengine inatokana na sababu ya kunyonyesha na wengine ni maumbile yao tu ndivyo yalivo.
Kwa wewe dada ambaye nyonyo tits zimelala na unataka zisimame fanya haya yafuatayo
Kila siku usiku chukua alovera then ikate ili kupata ile gel baada ya hapo pakaa hiyo gel kwenye chuchu hakikisha unapakaza chuchu yote,fanya hivi daily hadi utapoona na kuridhika na matokeo.
NB:
Usifanye hivo ukiwa unanyonyesha sababu alovera ni chungu na ukali wake haupotei haraka hivo inaweza pelekea mtoto kukataa kunyonya so kama unanyonyesha subiri umalize kwanza ndo uanze kufanya hii kitu.
Msisahau mrejeshoooooooo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] ,,YASIMAME ILI IWEJE! YAANI MNA SHIDA NYIE HALAFU KILA SIKU MNATUCHEKA VIBAMIA KUMBE NA NYIE MNA MATATIZO YENU
Nafikiri nitafanya sasa tatizo ni jinsi ya kupata hiyo alovera?????!!!!!
[emoji56] [emoji56] [emoji56] [emoji56] [emoji56] [emoji56] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Hahaha we jamaa bana sipatii picha gallery yako ya simu ina hali gani...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tafadhari sitaki kujua kabisaa [emoji847]
[emoji56] [emoji56] [emoji56] [emoji56] [emoji56] [emoji56] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
Em tupia moja ya gudnit
nilipotea ndio lakini sikupigwa BANUsije ukapigwa ban tena, maana ulipotea wiki kama 2 ivi
nilipotea ndio lakini sikupigwa BAN
Nimerejea tena...ila kasi nimepunguza[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Basi mashabiki zako walikuwa wanakuulizia sana, kila atae bahatika kuwahi siti yako lazima akutaje.. hana habari na mad
Nimerejea tena...ila kasi nimepunguza[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji12] [emoji12] [emoji12]