Jinsi ya kusimamisha matiti yaliyolala

YASIMAME ILI IWEJE! YAANI MNA SHIDA NYIE HALAFU KILA SIKU MNATUCHEKA VIBAMIA KUMBE NA NYIE MNA MATATIZO YENU
 
hasa ndugu mwanamke hamalizi kunyinyesha akilala mtoto ananyonya mwenye nyonyo yake hapo atasubiri sana. mi naona atafute njia mbadala
 
Hahaha we jamaa bana sipatii picha gallery yako ya simu ina hali gani...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Tafadhari sitaki kujua kabisaa [emoji847]
[emoji56] [emoji56] [emoji56] [emoji56] [emoji56] [emoji56] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
 
Basi mashabiki zako walikuwa wanakuulizia sana, kila atae bahatika kuwahi siti yako lazima akutaje.. hana habari na mad
Nimerejea tena...ila kasi nimepunguza[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…