Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walah siwezi au simu ndo kimeo
bonyeza B iko hapo juu baada ya ku highlight maneno yenyewe
Dah!aisee mkuu ubarikiwe kumbe njia ni rahis tu🤭lkn nakumbuka kipindi cha nyuma tulikuwa tunatumia ile njia nyingine ambayo kwangu ilikuwa inanitoa jasho😆😆bonyeza B iko hapo juu baada ya ku highlight maneno yenyewe
karibuDah!aisee mkuu ubarikiwe kumbe njia ni rahis tu🤭lkn nakumbuka kipindi cha nyuma tulikuwa tunatumia ile njia nyingine ambayo kwangu ilikuwa inanitoa jasho😆😆
ile njia nyingine pia ilikuwa rahisi tu, ulikuwa una highlight then right click na una choose boldDah!aisee mkuu ubarikiwe kumbe njia ni rahis tu🤭lkn nakumbuka kipindi cha nyuma tulikuwa tunatumia ile njia nyingine ambayo kwangu ilikuwa inanitoa jasho😆😆
Hahahhaahah!nilikuwa serious mkuu si umeona baada ya kujua nimeanza madoido🤣ile njia nyingine pia ilikuwa rahisi tu, ulikuwa una highlight then right click na una choose bold
mbona easy tu mkuu,,,ila tumia hiyo shortcut
halafu mwanzo nilidhani unatania nikasema acha tu nijibu huenda ikasai
Nenda hapo kwenye hicho kinusu mwezi mbele ya letter T, uta highlight maneno unayotaka na kuchagua color unayotakaAhsante mkuu jje's kwakuwa umeendelea kuwa mkarimu na tunashauriwa kuwa ukiipata nafasi tuitumie swali la mwisho namna gani ya kuchanganya rangi kwenye maneno nimekua nikiona madoido ya maneno kwa rangi nyekundu,kijani na rangi nyengine
hahahahahah kwa kweli naona mwendo wa italicHahahhaahah!nilikuwa serious mkuu si umeona baada ya kujua nimeanza madoido🤣
Heheheheehe!mkuu naomba usitoweke hewani mpk uhakikishe mwanafunzi ameelewa sawa mwlhahahahahah kwa kweli naona mwendo wa italic
NICE karibu sanaUzuri mwanafunzi wako nipo vizuri kichwani Kwanza sikubali kushindwa😆😆😆
hapo sijaelewa, katikati kama hiviSasa mkuu bado kuna changamoto moja namna ya kuchanganya rangi katikati
Naam inafanana na hivyo...ingawa napenda zaidi nichanganye maneno na rangi zakehapo sijaelewa, katikati kama hivi
Una hilight tu neno unataka na kuweka rangi unatakaNaam inafanana na hivyo...ingawa napenda zaidi nichanganye maneno na rangi zake