Jinsi ya kutag

Jinsi ya kutag

Lakin bado ukienda shule kufundisha kusoma wanapewa walimu wakongwe. Bahati siku hizi wanaanza la kwanza tayari wanajua kusoma toka chekechea.

Vitoto aisee vijana hatuwezi kuvifundisha.
Wa kwangu alikuwa mtu mzima pia,Sasa hivi Ni marehemu. siku hizi walimu ni watoto wadogo
 
Back
Top Bottom