Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kuna vitu ina miss[emoji41][emoji41]Hii hapa mkuuView attachment 1117713
Kwako kina VVD hawakabi, wanaacha ukafunge tu.
Abiria chunga mzigo wako 😂😂Nimeona ulivyombana akabanika nimecheka leo
Hakika!Abiria chunga mzigo wako [emoji23][emoji23]
Vitu gan, na nn nifanye?Mbona kuna vitu ina miss[emoji41][emoji41]View attachment 1117722
Aseee 😍😍Maana yake beki zangu kwako hazikabi.
VVD = Vigil van Dijk (Beki bora duniani kwa sasa).
Aseee 😍😍
Yaani uko romantic katika namna ya kibabe 😊😁
Hahaha, mimi najua wewe ni sports lady, hivyo tunaongea lugha moja.
Yeah,naona 😁
Sawa, ntajitahidi kuacha hizo za kuwataja mabingwa wa UEFA mbele yako.
😂😂😂😂
Hebu niache basi
Tusubiri comeback yetu hamtaamini