Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tigo wana 067 pia071
065
Hizo ni Tigo[emoji115]
062 halotel
075
076
Voda
068
078
Hizi Airtel
Hilo jambo la kutambua namba ip ni ya mtandao upi, ni karibu haliwezekani kwa sasa.........
HAINA HAJA YA KUUMIZA KICHWA!.. JIUNGE VIFURUSHI KUPIGA MITANDAO YOTE!
usiumize kichwaaa mdau! unganisha vifurushi vipo hadi vya hero Mkuu
Mobile Number PortabilityHilo jambo la kutambua namba ip ni ya mtandao upi, ni karibu haliwezekani kwa sasa , kuna huduma inaitwa porting ilizinduliwa tokea mwaka jana mwez wa tatu kama sikosei ambayo inaruhusu mtu kuhama mtandao na namba yake yote, si ajabu siku hizi kukuta namba kama 0755xxxxxx halafu ikawa tigo,
Binafsi nilikuwa mteja wa tigo tokea mwaka 2001 na namba yangu hiyo ikawa ndio namba maarufu ninayotumia kwa biashara na deals kadhaa , ilipokuja porting nikahama na namba yangu yote 0713xxxxxx, kwenda halotel,
TCRA haijajipanga, ni mkanganyiko tu mkuu kama masafa ya FM ya radio nchini. Kwa mfano masafa ya radio TBC Taifa ukiwa Dar ni tofauti ukiwa Tabora.Nahitaji msaada.
Hii kitu imekuwa inanisumbua kwa muda mrefu. Mtu unawezaje kutambua namba ya simu ni ya mtandao upi. Najua inahusiana na namba 3 za mwanzo. Mnaweza kuorodhesha namba zote na mitandao yake?
Anhaaa ni kweliTigo wana 067 pia
Voda wana 074
Naomba ufafanuzi/process za kuhama mtandaoHilo jambo la kutambua namba ip ni ya mtandao upi, ni karibu haliwezekani kwa sasa , kuna huduma inaitwa porting ilizinduliwa tokea mwaka jana mwez wa tatu kama sikosei ambayo inaruhusu mtu kuhama mtandao na namba yake yote, si ajabu siku hizi kukuta namba kama 0755xxxxxx halafu ikawa tigo,
Binafsi nilikuwa mteja wa tigo tokea mwaka 2001 na namba yangu hiyo ikawa ndio namba maarufu ninayotumia kwa biashara na deals kadhaa , ilipokuja porting nikahama na namba yangu yote 0713xxxxxx, kwenda halotel,