Jinsi ya kutanua hips

Jinsi ya kutanua hips

Hi
Habar zenu mmi naomba mnisaidie jina la application nzur inayotumika kwenye sm kuedit picha za kwa kutengeneza figure yaan hips tumbo na makalio
Kuna Mwanaume anaenda kuumizwa hapa kwa WhatsApp,teh teh teh kweli Mjini shule.
 
Sasa ween Unataka kunidanganya kwenye picha..nikitaka kuonana ana kwa ana na wewe utaimeza hiyo application??
Ukiona hivyo demu kasema yupo mbali na jamaa,na jamaa anataka atumiwe picha kwanza ili ajiridhishe kabla hajatuma nauli kwa demu,so demu anafanya maandalizi ya picha hapo.
 
Ikifika zamu ya kutanua Marinda usipate shida mtafute Mzibua Choo.
 
usisahau kuleta mrejesho kwa njia ya picha
 
Mi naona hips hazitanuliwi
Ni jinsi ulivyozaliwa,km kwenu zipo zipo tu wala usijichoshe.
Wanaume watatutoa roho wallah
 
1474452757739.jpg
 
hakuna haja ya kuedit picha Njoo nikuuzie uwe nazo muda wote
 
Hi
Habar zenu mmi naomba mnisaidie jina la application nzur inayotumika kwenye sm kuedit picha za kwa kutengeneza figure yaan hips tumbo na makalio
ukitaka uzuri wa kununua ni lazima utadhurika hii ndio falsafa yake. mfano mwepesi MAREHEMU MICHAEL JACKSON PAMOJA NA HELA ZAKE ILISHINDIKANA.
 
Back
Top Bottom