Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
HahahaIshi ukweli utakuwa huru.
Sasa ween Unataka kunidanganya kwenye picha..nikitaka kuonana ana kwa ana na wewe utaimeza hiyo application??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaIshi ukweli utakuwa huru.
Sasa ween Unataka kunidanganya kwenye picha..nikitaka kuonana ana kwa ana na wewe utaimeza hiyo application??
Kuna Mwanaume anaenda kuumizwa hapa kwa WhatsApp,teh teh teh kweli Mjini shule.Hi
Habar zenu mmi naomba mnisaidie jina la application nzur inayotumika kwenye sm kuedit picha za kwa kutengeneza figure yaan hips tumbo na makalio
Ukiona hivyo demu kasema yupo mbali na jamaa,na jamaa anataka atumiwe picha kwanza ili ajiridhishe kabla hajatuma nauli kwa demu,so demu anafanya maandalizi ya picha hapo.Sasa ween Unataka kunidanganya kwenye picha..nikitaka kuonana ana kwa ana na wewe utaimeza hiyo application??
Usiishi kwa kuigizaNdo nn
Kuna dawa fulani nipm nikwambieHaha mna visa
ukitaka uzuri wa kununua ni lazima utadhurika hii ndio falsafa yake. mfano mwepesi MAREHEMU MICHAEL JACKSON PAMOJA NA HELA ZAKE ILISHINDIKANA.Hi
Habar zenu mmi naomba mnisaidie jina la application nzur inayotumika kwenye sm kuedit picha za kwa kutengeneza figure yaan hips tumbo na makalio