Jinsi ya kutengeneza kalimati

Jinsi ya kutengeneza kalimati

Fikra mlazo

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
237
Reaction score
37
Habari nduguz. mwenye namna ya kuteblngeneza kalimati anielekeze pls. recipe nlopewa mara ya mwisho zilitoka nyembamba na zilinyonya sana mafuta, in short sikuzifurahia. Msaada tafadhali.
 
Habari nduguz. mwenye namna ya kuteblngeneza kalimati anielekeze pls. recipe nlopewa mara ya mwisho zilitoka nyembamba na zilinyonya sana mafuta, in short sikuzifurahia. Msaada tafadhali.

Nshakuitia mtaalamu wa kaimati Usijali
 
Jaribu hii


Kaimati



C:\Users\LUGAYA~1.MAS\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image001.jpg


Vipimo


Unga 2 vikombe vya chai


Hamira 1 ½ cha chai


Samli 1 kijiko cha chai


Maji 1 ½ kikombe cha chai (kiasi)


Mafuta ya kukaangia kiasi



Namna Ya Kutayarisha Na Kupika


  1. Changanya unga Hamira, Samli, maji, kisha vuruga kulainisha unga hadi uwe hauna madonge na mwepesi kiasi.

  1. Funika unga uumuke. Ukiuumuka (ukifura) choma kaimati katika mafuta ya moto.

  1. Ziepue na zichuje mafuta.

  1. Weka kaimati katika bakuli au sahani kisha mwagia *Shira zikiwa tayari.
Shira:

Sukari 3 vikombe


Maji 1 kikombe

Hiliki ¼ kijiko cha chai


Arki (rose flavour) 3-4 matone


Namna Ya Kutayarisha Shira

1.Tia sukari na maji katika kisufuria kidogo, acha kwenye moto ichemke pole pole hadi iwe nzito ya kunata.


  1. Tia hiliki na arki ikiwa tayari kumwagiwa juu ya kaimati, huku unavichanganya na huku shira ikipowa na kugeuka kuwa sukari kavu.
Kidokezo:


Shira ya Kaimati hizi iwe nzito ili unapochanganya na kaimati igeuke kuwa kama sukari ya visheti.
 
Jaribu hii


Kaimati



C:\Users\LUGAYA~1.MAS\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image001.jpg


Vipimo


Unga 2 vikombe vya chai


Hamira 1 ½ cha chai


Samli 1 kijiko cha chai


Maji 1 ½ kikombe cha chai (kiasi)


Mafuta ya kukaangia kiasi



Namna Ya Kutayarisha Na Kupika


  1. Changanya unga Hamira, Samli, maji, kisha vuruga kulainisha unga hadi uwe hauna madonge na mwepesi kiasi.

  1. Funika unga uumuke. Ukiuumuka (ukifura) choma kaimati katika mafuta ya moto.

  1. Ziepue na zichuje mafuta.

  1. Weka kaimati katika bakuli au sahani kisha mwagia *Shira zikiwa tayari.
Shira:

Sukari 3 vikombe


Maji 1 kikombe

Hiliki ¼ kijiko cha chai


Arki (rose flavour) 3-4 matone


Namna Ya Kutayarisha Shira

1.Tia sukari na maji katika kisufuria kidogo, acha kwenye moto ichemke pole pole hadi iwe nzito ya kunata.


  1. Tia hiliki na arki ikiwa tayari kumwagiwa juu ya kaimati, huku unavichanganya na huku shira ikipowa na kugeuka kuwa sukari kavu.
Kidokezo:


Shira ya Kaimati hizi iwe nzito ili unapochanganya na kaimati igeuke kuwa kama sukari ya visheti.
Shukriya

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Nlijaribu siku moja mmmh nikiweka kwenye mafuta zinasambaa zinakua kama chura
 
Watu wa kanda ta ziwa utawajua tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom