Jinsi ya kutengeneza maziwa ya mgando

Jinsi ya kutengeneza maziwa ya mgando

Mr IQ

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2015
Posts
1,024
Reaction score
1,377
Jinsi ya kutengeneza maziwa ya mgando, msaada jamani..
 
Najua kugandisha kwa aina mbili moja unayachemshaa alaf unayaweka kwenye chombo yanapoaa na kuyaacha kama siku mbili au tatu utakuta yamejiteng ile cream imepanda juu chini yanakuwa waji sasa hapo unapunguza yale maji na kubakisha kidogoo na kuyakoroga hapo mtindi utakuwa tayari,

Ila ukitaka mtindi uwe mzuri sanaa pale ambapo maji yatajitenga unatoa maji unaweza weka maziwa fresh alafu unayaokoroga hayo yatakuwa mazuri zaidi

Njia ya mwisho kabisa unaweza gandisha bila yachemsha kabisaa maji yakijitenga unapunguza na kuyakoroga kama kawaidaa

Nb kwa ushauri uyachemshe yatakuwa vizuri zaidi
 
Najua kugandisha kwa aina mbili moja unayachemshaa alaf unayaweka kwenye chombo yanapoaa na kuyaacha kama siku mbili au tatu utakuta yamejiteng ile cream imepanda juu chini yanakuwa waji sasa hapo unapunguza yale maji na kubakisha kidogoo na kuyakoroga hapo mtindi utakuwa tayari,

Ila ukitaka mtindi uwe mzuri sanaa pale ambapo maji yatajitenga unatoa maji unaweza weka maziwa fresh alafu unayaokoroga hayo yatakuwa mazuri zaidi

Njia ya mwisho kabisa unaweza gandisha bila yachemsha kabisaa maji yakijitenga unapunguza na kuyakoroga kama kawaidaa

Nb kwa ushauri uyachemshe yatakuwa vizuri zaidi



Asante Sana okyo, Japo Toka Nijiunge Jf Ni Mara Yangu Ya Kwanza Kutembelea Humu,

Ila Hujafafanua Vizuri Kuwa Unayaacha Wazi Au Unayafunika?,

Pili, Baada Ya Kuganda Hiyo Cream Unaitoa Au Unaikorogea Humo Humo?,

Tatu, Chombo Kizuri Cha Kugandishia Ni Sufuria Au Jagi? Napenda Sana Mtindi Aisee Ukinijibu Itakuwa Vyema! Natanguliza Shukran.
 
Last edited by a moderator:
Chemsha maziwa yachemke vizuri, ipua yapoe kiasi yawe ya vuguvugu chukua maziwa mgando sehemu yoyote vijiko viwili changanya na maziwa uliyochemsha kama ni lita moja koroga yafunike kesho, koroga yatakuwa yameganda vizuri na ni mtindi mtamu sana.
 
Chemsha maziwa yachemke vizuri, ipua yapoe kiasi yawe ya vuguvugu chukua maziwa mgando sehemu yoyote vijiko viwili changanya na maziwa uliyochemsha kama ni lita moja koroga yafunike kesho, koroga yatakuwa yameganda vizuri na ni mtindi mtamu sana.

yap hii itamsaidia maana kuna jamaa apo juu kamwambia yatajitenga na maji kama ni fomula.maziwa ya mgando hayatakiwi kuganda bila kugandishwa yakiganda bila kugandishwa tunasema yameoza nilazima yatiwe chachu /hamira maziwa yalio ganda kwaajili ya kuchanganyia kwenye maziwa fresh yaliyo chemshwa na kupoozwa.
 
Najua kugandisha kwa aina mbili moja unayachemshaa alaf unayaweka kwenye chombo yanapoaa na kuyaacha kama siku mbili au tatu utakuta yamejiteng ile cream imepanda juu chini yanakuwa waji sasa hapo unapunguza yale maji na kubakisha kidogoo na kuyakoroga hapo mtindi utakuwa tayari,

Ila ukitaka mtindi uwe mzuri sanaa pale ambapo maji yatajitenga unatoa maji unaweza weka maziwa fresh alafu unayaokoroga hayo yatakuwa mazuri zaidi

Njia ya mwisho kabisa unaweza gandisha bila yachemsha kabisaa maji yakijitenga unapunguza na kuyakoroga kama kawaidaa

Nb kwa ushauri uyachemshe yatakuwa vizuri zaidi

mkuu hayo maziwa yanakuwa yameoza sio kuganda! maziwa yakugandishwa ni lazima uweke kigandishio /amira hii ni maziwa yaliyo ganda. njia nyingine chukua maziwa lita moja mfano toa nusu kikombe , chemsha hayo yaliyobaki kisha yakipoa weka yale nusu kikombe ambayo hayakugandiswha hapo ni kama huna maziwa yaliyoganda kabla. usiache maziwa yakaganda yenyewe unakula muozo na usigandishe maziwa mabichi jitahidi kuchemsha kwanza
 
Kwetu umasaini hatuchemshi. Tunagandisha hivyo hivyo. Ni matamu balaa. Sasa hapo bacteria sijui inakuaje
 
mkuu hayo maziwa yanakuwa yameoza sio kuganda! maziwa yakugandishwa ni lazima uweke kigandishio /amira hii ni maziwa yaliyo ganda. njia nyingine chukua maziwa lita moja mfano toa nusu kikombe , chemsha hayo yaliyobaki kisha yakipoa weka yale nusu kikombe ambayo hayakugandiswha hapo ni kama huna maziwa yaliyoganda kabla. usiache maziwa yakaganda yenyewe unakula muozo na usigandishe maziwa mabichi jitahidi kuchemsha kwanza
Mie Huku niliko Hata hamira siijui inaitwaje kwahiyo huwa nashindwa kupika biriani kwa Kuwa hakuna mtindi,nashukuru umenisaidia,je maziwa hayo ya L 1,natakiwa niyaache yachemke kabisa au uvuguvugu?
Pia Ni muda gani natakiwa niyaache baada ya kuongezea kile nusu kikombe.
Nalog off
 
Mie Huku niliko Hata hamira siijui inaitwaje kwahiyo huwa nashindwa kupika biriani kwa Kuwa hakuna mtindi,nashukuru umenisaidia,je maziwa hayo ya L 1,natakiwa niyaache yachemke kabisa au uvuguvugu?
Pia Ni muda gani natakiwa niyaache baada ya kuongezea kile nusu kikombe.
Nalog off
kiongozi ukitaka maziwa yawe mazuri na harufu nzuri hakikisha yanachemka haswa ikiwezekana tumbukiza kisosi kwenye sufuria unayochemshia kuzuia yasimwagike yanapopanda juu ,hiyo itasaidia maziwa yaive vizuri na kuondoa shombo yya asili ya maziwa. baada ya apo yapooze au uyaache yapoe yenyewe yakisha poa ndo weka iyo amira.
 
kiongozi ukitaka maziwa yawe mazuri na harufu nzuri hakikisha yanachemka haswa ikiwezekana tumbukiza kisosi kwenye sufuria unayochemshia kuzuia yasimwagike yanapopanda juu ,hiyo itasaidia maziwa yaive vizuri na kuondoa shombo yya asili ya maziwa. baada ya apo yapooze au uyaache yapoe yenyewe yakisha poa ndo weka iyo amira.
Nashukuru sana kiongozi
Nalog off
 
Dah nimejifunza.kitu hapa. Siku zote nadhani najua kugandisha maziwa kumbe nilikuwa naacha tu yaozw. Huu utaratibu wa kuweka kitu ndio yagande nausoma hapa kwa mara ya kwanza. Kwa miaka ya kutosha kijijini tunachemsha na kuweka kwenye kibuyu safi then yanaganda yenyewe (kumbe yanaoza na sio kuganda).
Kwa hiyo.mkuu bora ni kutumia amira au maziwa mengine mgando na utajuaje kiwango cha amira kinachotakiwa?
 
Kuna vitu bado sijaelewa araway. Hayo mgando unayoweka kwenye fresh yaligandaje mwanzo?

Pili elimu kdg nilionayo juu ya maziwa inanambia yanaganda yenyewe kutokana na bakteria wanaoyafuata. Unachoita kuoza ndo kuganda kwenyewe (yakikaa sana katika hali ya mgando ndo yanaoza kiukweli). Tafadhali saidia hapa.

Kuna kitu kinaitwa yoghurt. Je ndio maziwa mgando hayahaya?

Nini tofauti ya maziwa mtindi, maziwa mala na maziwa mgando? Mala nadhani hutumika zaidi Kenya.
 
Last edited by a moderator:
Kuna vitu bado sijaelewa araway. Hayo mgando unayoweka kwenye fresh yaligandaje mwanzo?

Pili elimu kdg nilionayo juu ya maziwa inanambia yanaganda yenyewe kutokana na bakteria wanaoyafuata. Unachoita kuoza ndo kuganda kwenyewe (yakikaa sana katika hali ya mgando ndo yanaoza kiukweli). Tafadhali saidia hapa.
Unaweza kutumia hamira kugandisha, ukisha yatumia unabaikiza kiasi kidogo ili hayo uliyogandisha kwa hamira utumie kugandisha mengine utakauo chemsha, pia unaweza kutumia maziwa mgando yanayogandishwa viwandani ndio youghut hiyo kugandisha maziwa yako. Maziwa ukichemsha na kuyaacha yagande yenyewe huwa yanaoza kwa sababu hata harufu yake huwa si ya maziwa ya mgando bali harufu inayo kera na hayo maziwa pia huwa na mabonge ambayo hata ukiyashika na kuyabonyeza na vidole hayalainiki kama mgando yanakuwa kama rangi iliyoganda.
Kuna kitu kinaitwa yoghurt. Je ndio maziwa mgando hayahaya?

Nini tofauti ya maziwa mtindi, maziwa mala na maziwa mgando? Mala nadhani hutumika zaidi Kenya.
 
Last edited by a moderator:
kiongozi ukitaka maziwa yawe mazuri na harufu nzuri hakikisha yanachemka haswa ikiwezekana tumbukiza kisosi kwenye sufuria unayochemshia kuzuia yasimwagike yanapopanda juu ,hiyo itasaidia maziwa yaive vizuri na kuondoa shombo yya asili ya maziwa. baada ya apo yapooze au uyaache yapoe yenyewe yakisha poa ndo weka iyo amira.
Happy New Year Bro. long time no see
 
Kuna vitu bado sijaelewa araway. Hayo mgando unayoweka kwenye fresh yaligandaje mwanzo?

Pili elimu kdg nilionayo juu ya maziwa inanambia yanaganda yenyewe kutokana na bakteria wanaoyafuata. Unachoita kuoza ndo kuganda kwenyewe (yakikaa sana katika hali ya mgando ndo yanaoza kiukweli). Tafadhali saidia hapa.

Kuna kitu kinaitwa yoghurt. Je ndio maziwa mgando hayahaya?

Nini tofauti ya maziwa mtindi, maziwa mala na maziwa mgando? Mala nadhani hutumika zaidi Kenya.
Yoghurt ni yoghurt,
Maziwa mgando ni buttermilk
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom