Jinsi ya kutengeneza mwili bila kuingia Gym

Jinsi ya kutengeneza mwili bila kuingia Gym

Ni na tumbo la kawaida ila nataka kulifanya liwe na mkazo fulan kama six pack yaan lile tumbo hata unaweza kumruhusu mtu kukushika na asione manyamanyama au ukamruhusu akupge ngumi tumbon
Fanya crunches, sit ups, na kama una roller itumie.
Kwa kua unaanza.
Sit ups, Roller na Crunches fanya seti nne, kila seti fanya mara kumi.

Yapo mazoezi mengi ya tumbo naamini kuna wadau watakutajia ila anzia na hayo ukiwa advanced tutazidi kuongeza spices.
 
Samahani mkuu,nikifuata masharti ntatoka vigimbi baada ya muda gani?
Kama unakula na kupumzika ipasavyo wiki mbili mpaka tatu zinatosha kukuonesha ulichotaka kionekane.

Hata hivyo kama una malengo ya kuwa na mwili mkubwa mpaka nyumbani ufukuzwe (samahani kama hauishi nyumbani) hii guide haitoshi inabidi uingie gym kabisa.
 
weka ya six part maana hapa kitambi kinataka kunijia wakati nadaiwa wataona nawazarau kuota kitambi wakati wananidai
Mkuu kwakua kitambi kimeshaanza kujionesha anza na kutroti (siyo kukimbia). Mfano ukienda kwenye uwanja wa mpira trot kwa raundi sita raundi ya saba na ya nane ongeza spidi lakini isikufanye ujione unakimbia. Hapa tunaepuka kupata kichomi kwakua ndiyo tunaanza kukimbia.
Kisha soma maelezo ya post namba 28.
 
20.nyingi aisee..ila nitaanza taratibu

Ila kuluka.boi si fresh fresh nacheza na kilo nyingi balaaaaa
 
Hii itabidi iwe na siku yake maalum jumamosi ya tatu ya mwezi maana kila jumamosi imewahiwa
 
Mkuu kati ya kujogg na kuruka kamba ipi cardio nzuri
Kwangu mimi ni kujogg. Kwakua naweza kuamua kuongeza au kupunguza kasi kati ya raundi na raundi halafu hainikinai kama kuruka kamba (inase mguuni, ijikunje kunje unaifanyia sehemu moja).
 
Mkuu kwakua kitambi kimeshaanza kujionesha anza na kutroti (siyo kukimbia). Mfano ukienda kwenye uwanja wa mpira trot kwa raundi sita raundi ya saba na ya nane ongeza spidi lakini isikufanye ujione unakimbia. Hapa tunaepuka kupata kichomi kwakua ndiyo tunaanza kukimbia.
Kisha soma maelezo ya post namba 28.
shukrani mkuu
 
Kwangu mimi ni kujogg. Kwakua naweza kuamua kuongeza au kupunguza kasi kati ya raundi na raundi halafu hainikinai kama kuruka kamba (inase mguuni, ijikunje kunje unaifanyia sehemu moja).
OK ipi uko more effective katika kuchoma calories let's say nimeruka kamba for 30mins au nimekimbia at 1m/s kwa 30mins
 
OK ipi uko more effective katika kuchoma calories let's say nimeruka kamba for 30mins au nimekimbia at 1m/s kwa 30mins
Kwangu bado hua naona kujogg kupo effective kushinda kuruka kamba.

Baunsa anayetaka kujaza mwili (siyo kuukata) huwa hatakiwi kujogg mara kwa mara ila anaweza kuruka kamba hata akiwa kwenye work out yake kila siku.

Hiyo inaonesha kua kujogg kunachoma sana kushinda kuruka kamba
 
Kwangu bado hua naona kujogg kupo effective kushinda kuruka kamba.

Baunsa anayetaka kujaza mwili (siyo kuukata) huwa hatakiwi kujogg mara kwa mara ila anaweza kuruka kamba hata akiwa kwenye work out yake kila siku.

Hiyo inaonesha kua kujogg kunachoma sana kushinda kuruka kamba
Ok. Vipi kuhusu boxing?
 
Back
Top Bottom