Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio natumia, niliifungua mwezi wa kumi Sasa naona mda umenitupa mkono, kipindi naifungua skua na page ya kuitangaza ila nashukuru mungu kwa Sasa Nina page yenye followers 10k ko niliwekeza nguvu kwenye page ili baadae nije niitumie kupata sub.Ila bado email yake unatumia
Hiyo ni njia nzuri ya kujibrand hata kama ni baada ya miaka 6 endapo ukifikisha vigezo vyao hapo kulipwa ni uhakika.Ndio natumia, niliifungua mwezi wa kumi Sasa naona mda umenitupa mkono, kipindi naifungua skua na page ya kuitangaza ila nashukuru mungu kwa Sasa Nina page yenye followers 10k ko niliwekeza nguvu kwenye page ili baadae nije niitumie kupata sub.
Vip Hapo ntakua mbali na kulipwa?
hivi humu jf wenzetu mnalipwa mbona nimepigika humu mwaka wa saba sasa sijalipwa hata..Hapo ukijitahidi na kukaza unafanikiwa.
Ila ufanye kwanza kama hutaki hela iwe kama passion subiri hata miaka 3 hela itajileta yenyewe.
aaaah! mkuu mckato ukoje! kwa hio kina eclat, Mshana jr, gentmycin, kasomi, fiancee! wanalipwa hawanaga hasira kabisa hawaNdio hulipwa muulize Abrianna kapokea 5M mwezi huu
Kuna uandishi hua unatolewa yaani shindano la uandishi mkwanja wanajizolea wa 1,2 na 3 pia 4 na 5 wanapata zawadi.aaaah! mkuu mckato ukoje! kwa hio kina eclat, Mshana jr, gentmycin, kasomi, fiancee! wanalipwa hawanaga hasira kabisa hawa
mimi sifahamiani na huyo member, kama amesema kwa utani au kwa kuchangamsha genge sijui ila sielewi nia yake ni ipi, na hata kama ni utani huwezi mtania mtu ambae huna mazoea nae, sijawahi kuwa na ukaribu nae wa namna yoyote au mazoea ndio maana nimebaki nashangaa, kuna baadhi ya members ambao tunafahamiana wangesema maneno hayo ningeona ni sawa tuKwahiyo mtu asiseme ukweli?
I beg your pardon mkuu, chunga kauli zako. Sina mazoea ya namna yoyote na wewe na usizungumze mambo ambayo hayana uhalisia kuchangamsha genge, have some respect
Just ignore them. Losers will feed you with negative energy. There's nothing good you'll ever be able to gain from them.mimi sifahamiani na huyo member, kama amesema kwa utani au kwa kuchangamsha genge sijui ila sielewi nia yake ni ipi, na hata kama ni utani huwezi mtania mtu ambae huna mazoea nae, sijawahi kuwa na ukaribu nae wa namna yoyote au mazoea ndio maana nimebaki nashangaa, kuna baadhi ya members ambao tunafahamiana wangesema maneno hayo ningeona ni sawa tu
Thank you my bestie.Just ignore them. Losers will feed you with negative energy. There's nothing good you'll ever be able to gain from them.
The only things they wish for is to drag you down to their mediocrity.
Ukikamalisha vigezo ambavyo ni Muda wa kutazamwa tawe masaa 4000 pamoja na wafuasi wafikie 1000 hii isiwe chini ya miezi 12 yaani mwaka mmoja.Sijaona sehemu umeandika kuwa unaanza kulipwa vipi?......
Hongera mie bado sana..nitafurahi ukinisapot kwa kusubscribe account inaitws Zawiya-DIYMe bado masaaa machache sana niombe monitize
Uko na viewers wangapi🤣🤣🤣Aiseee mi nimeshafungua YouTube channel account Na Huwa ninapost videos vipi malipo ntayapataje? M-pesa au Airtel-Money? Au inategemea na namba niliyofungulia,,,,,,,*
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uko na viewers wangapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]