Jinsi ya kutengeza beat simple ya Trap kwenye fl studio

Ulitumia mbinu gani kujifunza mkuu, make mi naishia tu kukalili kubonyeza button kadhaa kwamba ndi Key landa C, then sujui hata hiyo Key inatumikaje.
 
Hongera mpaka hapo ulipofika but unatakiwa kujinoa zaidi upate sound yako. You need more unique vsts, oneshot kits and drums. Vilevile hata melodies keep them very simple, I know its hard to keep it simple.
 
Hongera mpaka hapo ulipofika but unatakiwa kujinoa zaidi upate sound yako. You need more unique vsts, oneshot kits and drums. Vilevile hata melodies keep them very simple, I know its hard to keep it simple.
Nakubali mkuu, napangilia ratiba zangu za kiofisi zikikaa poa nitakaa na wataalamu kwa ujuzi zaidi. Shukrani.
 
Safari ni ndefu ukifanya peke yako ukipata free time utakua kwa haraka.
Kama ulikwepo vile. Nafanya hii kitu kitambo sana ila mwenyewe. Nilipofika naona nahitaji kabisa wakuunlock ujuzi wangu.

Wewe ni producer tayar?
 
Ulitumia mbinu gani kujifunza mkuu, make mi naishia tu kukalili kubonyeza button kadhaa kwamba ndi Key landa C, then sujui hata hiyo Key inatumikaje.
Ni rahisi zaidi ukijifunza kupiga nyimbo,
Kujifunza theory na kusoma notes ni kazi kubwa kuliko kupiga piano.
Jifunze nyimbo unazozipenda kupiga chord then unakuja chord plus melody, right unapiga melody left unapiga chord, baada ya hapo utazoea piano, japo I can't tell you how long will take kulingana na effort zako.
Ukimaliza hapo unajifunza kupiga inversion, hapo ndio utamu wenyewe.

Usihangaike sana na theory wewe hautaki kutengeneza piano ila unataka kupiga piano.
 
Aisee nimesoma mpk nimechanyikiwa!

Kweli kitu kama si passion au kipawa chako utakiona kigumu sana
Unasoma nini mkuu ? Unataka kutengeneza piano au kupiga ?

Piga piano anza na C kwasabu ni all white keys tafuta nyimbo rahisi hata forever young jifunze kupiga in chord melody ukijiwekea task na kuitimiza haitochukua muda, hizo theory badae utazielewa mana ni muhimu kuweza wasiliana na wenzako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…