Jinsi ya kuteua Mgombea wa Urais - Hayati Mwalim Nyerere

Jinsi ya kuteua Mgombea wa Urais - Hayati Mwalim Nyerere

Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
3,680
Reaction score
6,554
Mwaka 1995 Mwalimu Nyerere akisimama na kuhutubia mkutano mkuu wa kuteua Mgombea Wa CCM bara katika nafasi ya Urais . Alizisitiza "Watanzania wanataka mabadiliko , wasipo yapata ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM".

Aidha mwalimu Nyerere aliwataka wajumbe kuteua Mgombea atakayekidhi matakwa ya watanzania huku akitaja Mambo manne ambayo Kama wajumbe wangeulizwa wangejibu ndio kutoka ndani ya Mtima wao mambo hayo ni

1. Mgombea atakayepiga Vita rushwa
2. Mgombea anayejua Tanzania Ni nchi maskini
3. Atakayepiga Vita Ukabila (kwasasa tunaweza kuongeza Uzanzibari na utanganyika
4. Atakayepiga Vita Udini

Vyama vinaweza kuendelea kutumia nasaha hizi kwani mahitaji ya Watanzania ni hayo hayo.

Video Rejea :

 
1. Mgombea atakayepiga Vita rushwa
2. Mgombea anayejua Tanzania Ni nchi maskini
3. Atakayepiga Vita Ukabila (kwasasa tunaweza kuongeza Uzanzibari na utanganyika
4. Atakayepiga Vita Udini
  1. Aliyepo ana support rushwa ...rejea siku alipopokea report ya Mkandala
  2. Aliyepo halijui hilo ...rejea ununuzi wa mashangingi, kusafiri na wasanii duniani huku tukiishi kwa shida
  3. Aliyepo anajidadavua kuwa yeye ni mzanzibari na anauza rasilimali za Bara na kuziacha za kwao
 
  1. Aliyepo ana support rushwa ...rejea siku alipopokea report ya Mkandala
  2. Aliyepo halijui hilo ...rejea ununuzi wa mashangingi, kusafiri na wasanii duniani huku tukiishi kwa shida
  3. Aliyepo anajidadavua kuwa yeye ni mzanzibari na anauza rasilimali za Bara na kuziacha za kwao
Acha ubaguzi ...
 
Back
Top Bottom