Jinsi ya kuthibitisha PIN Google Adsense

karibu kwenye team ya adsense

kuhusu p.obox tafuta mtu,ofisi utumie box lao pIN zikifika utazipata kwa urahisi ila ukihitaji huduma ya box inapatikana kwa 5000.
kuhusu identify verification tumia ID ya mpiga kura.

karibu PM kwa maelezo zaidi
 
Sanduku la posta ni mali ya mtu, na mhusika anakaa na funguo.

Ukitumia sanduku la posta la mtu au ofisi fulani hakikisha unamjua anayekaa na funguo za hilo sanduku.

Vinginevyo utapoteza barua yako.
 
Google hawana tatizo kabisa kwenye payments.

Watu wanachukulia pesa Western Union, Check, Bank ( Wire transfer ) n.k

Hakuna PayPal kwenye malipo ya Google.
 
Sanduku la posta ni mali ya mtu, na mhusika anakaa na funguo.

Ukitumia sanduku la posta la mtu au ofisi fulani hakikisha unamjua anayekaa na funguo za hilo sanduku.

Vinginevyo utapoteza barua yako.

Mzigo haupotei unaenda ofisini kwao wanauchukua wanakupatia na sio mizigo yote inaweza kaa kwenye vile vibox, ni mizigo midogo midogo kama bahasha na box moja haliwezi milikiwa na mtu mmoja au taasisi moja linawekuwa na watu wengi, kinachotofautisha ni majina tu ya hiyo anwani.
 
Kwa uhitaji wa Google AdSense account ipo.. imetoa pesa Mara moja fully verified ..
 
Nimekuwa nikisoma comments za watu humu wengi nimegundua hawana uzoefu na adsense au admob.
Binafsi nimekuwa nikijipatia kipato toka admob tangu mwaka 2015.
Ngoja nije kwenye mada.. nimeona wengi mkisema jinsi ya kupokea malipo ni shida sijui paypal haitumiki tanzania. Nani kasema google wanalipa kwa paypal?? Anyway walikuwa wanalipa zaman sio siku hizi. Sasa hiv google wanalipa kwa njia ya wire transfer (unatumiwa pesa kwenye account yako ya bank) hapa kuwa makini. Ukichahua njia hii hakikisha hiyo bank ina swift code na inakubali malipo ya dola. Kwa uzoefu wangu bank zote kubwa Tanzania zinapokea pesa kwa malipo ya dola. Mfano NMb, CRDB EQUITY bank n.k hizo bank nisha zitumia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…