Jinsi ya kutoa mikunjo kwenye ngozi

Jinsi ya kutoa mikunjo kwenye ngozi

miss chuga

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2019
Posts
303
Reaction score
660
Habari ndugu zangu? Nimetokewa na mistari miwili juu ya pua katikati ya macho sijui ndowanaita makunyanzi sasa naona inanifanya nionekane mzee, naombeni ushauri nitumie nn kutoa hii mistar au mikunjo au hata mnitajie mafuta yanayoweza kuimaliza hii mistari. Asanteni sana
 
Habari ndugu zangu? Nimetokewa na mistari miwili juu ya pua katikati ya macho sijui ndowanaita makunyanzi sasa naona inanifanya nionekane mzee, naombeni ushauri nitumie nn kutoa hii mistar au mikunjo au hata mnitajie mafuta yanayoweza kuimaliza hii mistari. Asanteni sana
Tafuta Olay anti wrinkle. Pia kama unaweza afford ununue na day cream ya Olay pia. Ni nzuri sana.
 
Habari ndugu zangu? Nimetokewa na mistari miwili juu ya pua katikati ya macho sijui ndowanaita makunyanzi sasa naona inanifanya nionekane mzee, naombeni ushauri nitumie nn kutoa hii mistar au mikunjo au hata mnitajie mafuta yanayoweza kuimaliza hii mistari. Asanteni sana
Tafuta serum uwe unapakaa.... Serum zinaondoa mikunjo ya ngozi kwa haraka sana

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Naomba nishaur serum ipi ninunue maana huku madukan zimejaa hata sielewi ninunue ipi

IMG-20220419-WA0015.jpg
 
Habari ndugu zangu? Nimetokewa na mistari miwili juu ya pua katikati ya macho sijui ndowanaita makunyanzi sasa naona inanifanya nionekane mzee, naombeni ushauri nitumie nn kutoa hii mistar au mikunjo au hata mnitajie mafuta yanayoweza kuimaliza hii mistari. Asanteni sana
Kwani hiyo mikunjo inakuumiza??. Kama hapana achana nayo fatilia mambo ya msingi
 
Back
Top Bottom