miss chuga
JF-Expert Member
- Dec 25, 2019
- 303
- 660
Tafuta Olay anti wrinkle. Pia kama unaweza afford ununue na day cream ya Olay pia. Ni nzuri sana.Habari ndugu zangu? Nimetokewa na mistari miwili juu ya pua katikati ya macho sijui ndowanaita makunyanzi sasa naona inanifanya nionekane mzee, naombeni ushauri nitumie nn kutoa hii mistar au mikunjo au hata mnitajie mafuta yanayoweza kuimaliza hii mistari. Asanteni sana
Na kuna namna tena za upakaji mafuta?Kitu kingine muhimu ni kunywa maji ya kutosha, kufanya mazoezi, kula mboga na matunda kwa wingi. Na lingine namna ya upakaji wa mafuta...
Ndio kwa mfano unavyopaka kwenye paji, lazima umasaji kutoka juu hapo ya pua kwenda juu na sio kushuka chini. Then kwenye mashavu napo unapandisha juu.. Alinifundishaga dada mmoja hivi... Pia hakikisha unamasaji kwa muda sio haraka haraka tu..Na kuna namna tena za upakaji mafuta?
Ahsante kwa elimu mpyaNdio kwa mfano unavyopaka kwenye paji, lazima umasaji kutoka juu hapo ya pua kwenda juu na sio kushuka chini. Then kwenye mashavu napo unapandisha juu.. Alinifundishaga dada mmoja hivi... Pia hakikisha unamasaji kwa muda sio haraka haraka tu..
Hahahaha.. Karibu dear.. Mie mwenyewe siku hizi naona nimezoea.. Nikiwa na haraka naskip tu kupaka usoniAhsante kwa elimu mpya
Navyoyazungushaga uso mzima [emoji1787]
Tafuta serum uwe unapakaa.... Serum zinaondoa mikunjo ya ngozi kwa haraka sanaHabari ndugu zangu? Nimetokewa na mistari miwili juu ya pua katikati ya macho sijui ndowanaita makunyanzi sasa naona inanifanya nionekane mzee, naombeni ushauri nitumie nn kutoa hii mistar au mikunjo au hata mnitajie mafuta yanayoweza kuimaliza hii mistari. Asanteni sana
Kwani na wewe umezeeka baby?Na kuna namna tena za upakaji mafuta?
ππππ Ngoja kesho asubuhi nitajiangalia kwa kioo, nitakupa mrejeshoKwani na wewe umezeeka baby?
Kumbe team Olay tuko tukoTafuta Olay anti wrinkle. Pia kama unaweza afford ununue na day cream ya Olay pia. Ni nzuri sana.
Naomba nishaur serum ipi ninunue maana huku madukan zimejaa hata sielewi ninunue ipiTafuta serum uwe unapakaa.... Serum zinaondoa mikunjo ya ngozi kwa haraka sana
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Asante dia ngoja nikatafuteTafuta Olay anti wrinkle. Pia kama unaweza afford ununue na day cream ya Olay pia. Ni nzuri sana.
AsanteHongera kwa kujali ngoz yako mom.Natumai umepata miongozo
Naomba nishaur serum ipi ninunue maana huku madukan zimejaa hata sielewi ninunue ipi
Kwani hiyo mikunjo inakuumiza??. Kama hapana achana nayo fatilia mambo ya msingiHabari ndugu zangu? Nimetokewa na mistari miwili juu ya pua katikati ya macho sijui ndowanaita makunyanzi sasa naona inanifanya nionekane mzee, naombeni ushauri nitumie nn kutoa hii mistar au mikunjo au hata mnitajie mafuta yanayoweza kuimaliza hii mistari. Asanteni sana