Jinsi ya kutoa uchawi laana(vijicho) kwenye mwili

Jinsi ya kutoa uchawi laana(vijicho) kwenye mwili

Mkuu nyota za kweli ni nyota za jina uliopewa na wazazi pamoja na jina la mama hizi za tar zimewekwa tu in general lakini hazifanyikazi kama hizo za kuzaliwa nazo
Vipi Kama nilibadilisha jina wakati naingia kwenye Imani nyingine , labda nimeingia kwenye ukristo au uislam
 
Vipi Kama nilibadilisha jina wakati naingia kwenye Imani nyingine , labda nimeingia kwenye ukristo au uislam
Sahihi kabisa ya nyota yako inakuwa ni ile iliyochomoza wakati unazaliwa ila kama umebadili dini unaangalia hapo wakati unazaliwa kama mama hakumbuki saa maana yake unatumia jina jipya la ubatizo au kusilimu

Rakims
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna mwingne alisema moyo wa Simba na kipande Cha nguo iliofunikia maiti mda mwingne binadam tunafanya Mambo ambayo hata ibilis mwenyew anaogopa kuyafanya
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna mwingne alisema moyo wa Simba na kipande Cha nguo iliofunikia maiti mda mwingne binadam tunafanya Mambo ambayo hata ibilis mwenyew anaogopa kuyafanya
Chukua dakika 2 kufikiria zahma ulizowahi kuzifanya katika uhai wako hadi leo nahisi utajua ni kiasi gani binadamu hucheka ya mwenzie na yake huyahifadhi.

Rakims
 
Usimuache mwanamke mchawi aishi.
Mchawi ndie Kiumbe mpumbavu mjinga na asiye na akili kuliko viumbe vyote duniani.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuwa mchawi.
 
Hasira ni mlango wazi wa uchawi, shetani na mapepo kuingia kwako. Ni SAwa na uwanja wao wa mpira mda wowote wanauchezea.
Thus Maandiko yanasema hasira ukaa moyoni Mwa mtu mpumbavu.
Hasira ni dalili za mtu mpumbavu. Ukimuona mtu ana hasira tambua ni mpumbavu. Mtu asiyempumbavu hawezi kuwa na hasira anajua kutawala hasira zake na sio hasira zimtawale yeye.
 
Umeandika mengi lakini mfano uliotumia hauna mashiko na wa kitoto sana.
Ni mfano mtu mzima aseme nikiwa mkubwa nitakuwa rubani.
Hii ni jamii intelligence unapojibu au kuchangia hakikisha kichwa chako kipo katika hali nzuri

Rakims
Sidhani kama unajua yote kuhusu ulimwengu wa giza hata uwe na phd ya mambo hayo still bado huwezi master.Uchawi ni bahari.
 
Back
Top Bottom