Jinsi ya kutoboa kupitia biashara ya mazao (nafaka)

Jinsi ya kutoboa kupitia biashara ya mazao (nafaka)

Nitaelezea zaidi Kanda ya ziwa, hasa mkoa wa Kagera

Biashara ya mazao hasa nafaka ni biashara ambaya haimtupi mtu, yaani hapa faida inayoweza kuji double ni uhakika

Usichukue mtaji ukawekeza kulima kama kijana unayejitafuta maana kilimo kina risky zake Kwa sisi Africa tunaotegemea mvua ya Mungu pekee bila teknolojia za umwagiliaji, hapa mvua zinaweza kuonyesha nyingi zikaharibu mazao au kiangazi kikazidi,
Subiri walime, we andaa mtaji kama million 5 zungusha mara 3 hadi 5 msimu uje kuisha una si chini ya million 15

Kwasasa ndo tunavuna maharage,
Gunia ya maharage ya njano, ambayo ndo maarufu yanapendwa Kwa Sasa ni sh 300,000 gunia Lina kg kuanzia kg 250 ukifika mjini Gunia hilo utauza si chini ya 750k

Kwa wale matajiri ukiingia na pesa yako vijijini ni rahisi sana kutajirika, unanunua mazao na kupeleka Kwa wavivu Kenya tena unauzia Sirari border au Namanga unarudi na pesa

Au unapeleka Burundi, Rwanda na Uganda

Msimu wa mahindi unaingia January, Wakenya washapenyeza pesa, Kuna pesa za uhakika

Kwa wale wasukuma Kwa maana ya Geita, Mwanza, Simiyu na Shinyanga, mpunga umekubali hatari na utaiva mwezi wa 5

Humu kwenye mpunga Kuna mkwanja kama ulilima au unanunua, Japo Watanzania tumelala wanakuja wakenya kuulangau wote na pesa inapita Kwa wakulima na Bado mpunga upo shambani

Hapa sijaandika mikoa mingine ya ufuta, uwele, mtama n.k ila kimsingi pesa ipo kwenye kilimo na mazao

Kwa vijana mlioko mjini, tafuta mtaji mapema, wekeza kwenye biashara ya mazao
Hilo gunia la 250kg lina debe ngapi mkuu? Mbona kama kilo ni nyingi sana hizo kwa gunia la 300k?
 
Si rahisi Kama unavyoongelea Kuna changamoto nyingi Kama hujui zao husika mf mpunga Kama huujui ukamunua kichwa kichwa siku ukikoboa utaukimbia mzigo...kwa hio chagua biashara fanya research ya kutosha ununuzi na soko yaani mashambani na mashineni...Kama NI mpunga.,Kuna Sina na mbegu zinapendwa na zinauzwa Bei kubwa nyingine hazipeneki na no Bei mdogo...Kuna suala la kumix thailand na chenga ukpata FAIDA...utajishangaa mbona sipati FAIDA kumbe hujui namna biashara ifanywavyo...utamaliza zaidi ya misimu 3 Hadi 4 kuijua biashara ya mazao
Mimi nimzeoefu sana nimekuja kahama mwaka huu mwezi wa 9 kufanya biashara ya mpunga lakini nilichokutana nacho sasa hivi sina hata mia ndugu changamoyo ni nyingi sana yaani asikuambie mtu. bado tupo kahama na hatujakataa tamaa na hatutorudi nyumbani
 
Mimi nimzeoefu sana nimekuja kahama mwaka huu mwezi wa 9 kufanya biashara ya mpunga lakini nilichokutana nacho sasa hivi sina hata mia ndugu changamoyo ni nyingi sana yaani asikuambie mtu. bado tupo kahama na hatujakataa tamaa na hatutorudi nyumbani
Elezea ndugu ilikuaje
 
Mimi nimzeoefu sana nimekuja kahama mwaka huu mwezi wa 9 kufanya biashara ya mpunga lakini nilichokutana nacho sasa hivi sina hata mia ndugu changamoyo ni nyingi sana yaani asikuambie mtu. bado tupo kahama na hatujakataa tamaa na hatutorudi nyumbani
Ulikutana na changamoto Gani,.,?
 
Mimi nimzeoefu sana nimekuja kahama mwaka huu mwezi wa 9 kufanya biashara ya mpunga lakini nilichokutana nacho sasa hivi sina hata mia ndugu changamoyo ni nyingi sana yaani asikuambie mtu. bado tupo kahama na hatujakataa tamaa na hatutorudi nyumbani
Ulikutana na changamoto gani??.
 
Nitaelezea zaidi Kanda ya ziwa, hasa mkoa wa Kagera

Biashara ya mazao hasa nafaka ni biashara ambaya haimtupi mtu, yaani hapa faida inayoweza kuji double ni uhakika

Usichukue mtaji ukawekeza kulima kama kijana unayejitafuta maana kilimo kina risky zake Kwa sisi Africa tunaotegemea mvua ya Mungu pekee bila teknolojia za umwagiliaji, hapa mvua zinaweza kuonyesha nyingi zikaharibu mazao au kiangazi kikazidi,
Subiri walime, we andaa mtaji kama million 5 zungusha mara 3 hadi 5 msimu uje kuisha una si chini ya million 15

Kwasasa ndo tunavuna maharage,
Gunia ya maharage ya njano, ambayo ndo maarufu yanapendwa Kwa Sasa ni sh 300,000 gunia Lina kg kuanzia kg 250 ukifika mjini Gunia hilo utauza si chini ya 750k

Kwa wale matajiri ukiingia na pesa yako vijijini ni rahisi sana kutajirika, unanunua mazao na kupeleka Kwa wavivu Kenya tena unauzia Sirari border au Namanga unarudi na pesa

Au unapeleka Burundi, Rwanda na Uganda

Msimu wa mahindi unaingia January, Wakenya washapenyeza pesa, Kuna pesa za uhakika

Kwa wale wasukuma Kwa maana ya Geita, Mwanza, Simiyu na Shinyanga, mpunga umekubali hatari na utaiva mwezi wa 5

Humu kwenye mpunga Kuna mkwanja kama ulilima au unanunua, Japo Watanzania tumelala wanakuja wakenya kuulangau wote na pesa inapita Kwa wakulima na Bado mpunga upo shambani

Hapa sijaandika mikoa mingine ya ufuta, uwele, mtama n.k ila kimsingi pesa ipo kwenye kilimo na mazao

Kwa vijana mlioko mjini, tafuta mtaji mapema, wekeza kwenye biashara ya mazao
😂😂umeelezea vzur ila gunia la njano kuwa na kg250 sio kwel ndgu,na hata likifika dar haliwez kuwa 750k
 
Back
Top Bottom