Ewaaah!! Hilo ndo lililonisumbua mno siku za kwanza nilipoanza kufuatilia hii post yako, nilikuwa nasubiri hadi masaa 3! Najikuta sioni kitu wala lolote lile ila sasa ni 20 min tu nakuwa kwenye paralysis state, asante bro nazidi kwenda mbele, kikubwa nilichogundua haitakiwi pupa.Unakosea Kusubiri Kitokee Kitu Wakati Unatakiwa Utulie Ufuate Waves Za Ubongo,
Mzee ukiwa umetulia usiwe makini na kuwaza kuwa kitatokea nini saa hiz!Rakims
Mbona natulia mpaka dakika 20 _30 hakitokei chochote ? Nakosea nini ? Msaada tafadhali
Hongera sana mzee[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] daah! nakuonea mimi natoka kabisa ila ghafla najikuta naanguka tena kwenye mwili wangu, af nashindwa kuona chochote naona giza kali!mrejesho
[HASHTAG]#yapata[/HASHTAG] cku kama tat hv zimepita
baad ya kufuatilia hili somo kwa zaid ya miez miine pia na kufanya practise sikufikia pake waliposema wao ila changes niliziona katkaa maisha yangu
ikiwepo kuwa awere sana nimekuwa makin halaf
nimeongz utulivu wa akil
ila ukiacha hayo nilivutiwa zaid na zile hatua za kutok nje ya roh imekuw ngum kufkia ile hatua
ila cjakata tamaa nmekuw nikijarb mara kwa mar ilikuw juz ambapo baada ya kuamka usku wa maanane misha kurud kulal nikakumvka kupractise hii ktu hii nikwasabab baad ya kugoogle maelzo wanashaul ufanye masaa sita baad ya kulala ili kupungza uchovu akil
maan tofaut na hap kitkan na uchov weng huw
tulala katk ile hatua ya ganzi bila kuendlea mbel ghafla hvyo ukilal ni vyema
zaid maan unapungza uchov
hvyo baad kushtuk usku huo
niikajisemea leo tena nafanya hyo ndio sku ya kwanza kupata mafanikio makubwa na kwa mara kwanza niltoka nikawa nna kumbkumb kabsa ya kinachoendlea kwa wakt huo
nakumbka nilienda popot nilipopatak
ila kila nilipoenda ckukaa sana nili chukua muda mfup na kuvadil uelekeo
hii kutokana kuchkua tahadhar
ya hili eneo nilpo maan local area gii ina mawirch weng sana halaf unakuw upo peke yako hvyo nikawa nko makin
nikenda sehem ckai sana just a second tu naondka hlo eneo
nilimuw cjiamin
kwa sabab nmekuw na historia kuota vindott vbay vya ajab ajb mara kufukuzw hvyo nikaw cjiamn
kias halaf kwa kuwa ilikuw mara kwanz nilifany short tour baada ya kulizika nikaamua kurud
katk mwili na is very smple
ili kuhis unakuw usharud
na ili kuthibitsha hlo once ukirud ti lazma uamke
mawahakikishia wale wanafuzn kam mm wa hii kti
real ipo ww fany tu zoez
ila raha sana nakumbk hyo cku nzima nilikuwa naraha sana.
Kwa pamoja tufanye group Kisha mwenye uelewa zaidi atawaelekeza wenzie alipofikia, kwa aliye interested anitext kwa 0677838364 tufanye group, siku kaka Rahim akiwa fresh nae atakuja kutupanua maradufu.Mshawishi atutengenezee lingine
kama kuna uwezekano wa kujiunga kwenye ilo group la whatts up ningefurahi sana ningejifunza mengi kuhusu astral projection
Kwani haiwezekani na sisi tukatengeneza kundi la WhatsApp..!?
Alafu tukawa tunaelekezana..?
Wale wazoefu kidogo wakawa walimu wa wale wanaoanza..?
Jamani tujaribu kushare hii elimu!!!
Naomba ufafanuzi hapo maana leo nilifika hatua ya vibration, nilipojaribu kuinuka mara mbili nilishindwa.Nilipojaribu mara ya tatu nikajikuta nimeshituka. Tatizo nini hapo.kumbuka kuvisualize mwili wa pili kila unapopata vibration
Rakims
Umejuaje maiti inaona kila kitu ila kuamka inashindwa?Hiyo namba 8 ilishawah kunitokea, unakuwa usingizini lakin unaona kila kitu ila kuamka ndo unashindwa ni kama maiti vile
usijaribu ndugu bado tunakupendaGuys nimejarib dis morning....wakati wa kutengana miili nj shidaaa u feel like hell yaan ubarid unauckia unaanzia miguuni kwene unyayo....unapanda taratib then take over inatakoa very slowly....separation of body! Nimeamua nijikurupue maana kuna imetoke very strange! But ntajarib tenaa jion
Group limeshaanza na mm nijeKwa pamoja tufanye group Kisha mwenye uelewa zaidi atawaelekeza wenzie alipofikia, kwa aliye interested anitext kwa 0677838364 tufanye group, siku kaka Rahim akiwa fresh nae atakuja kutupanua maradufu.
Hili swala unaweza kukusudia au usikusudie na ukaenda kusafiri mbali sana na kujionea mambo mengi sana,malaika ambao kila mtu anao katika mwili wake wanaweza kuipeleka sehemu fulani roho kuona jambo ambalo unapaswa kulifahamu na hii hutokea sana kwa wacha mungu ila kwa wale ambao wanakusudia ni hatari sana kupita maelezo.Mimi mara nyingi nasafiri sana nikiwa nimelala bila ya kukusudia na kiukweli vitu ambavyo hua naviona nikisema nntaambiwa nimechanganyikiwa.Ila mbeya ni noma sana nimeshawahi kwenda mbeya kama mara saba lakini kuna mara mbili bado kidogo sana nisirudi.halafu hua hata sitamani kwenda mbeya lakini sijui kwanini inatokea hiviPasco Ni kweli unayoyasema ndio maana kuna mambo mengine hayafai watu kufundishwa akikosea ndio anakufa moja kwa moja mimi huwa sipendi kujaribu kitu kwa njia ya Riski.
Mimi huwa inatokea sio kila siku kusafiri wakati nipo ndani ya usingizi nikikusudia huwa ndio ninasafiri na sio kwa nia mbaya bali kutembea na kujionea mwenyewe ulimwengu jinsi ulivyo ingawa ukizoea utaona raha lakini sio nzuri kusafiri ndani ya ndoto unaweza unakokwenda usirudi tena ulipo toka. nimekuelewa Mkuu Pasco.
ASTRAL PROJECTION/Mental Projection......
Ni Ule Uwezo Wa Mtu Kutengana Na Mwili Wake Ki Fikra Katika Imani Husemwa Kiroho...
Kutoka Ap Humfanya Mtu Kwenda Popote Duniani Ki Mawazo Na Kufarijika Nafsi Yake Na Kujifunza Mambo Tofauti Ya Sehemu Jirani Na Kupaa Au Kupita Katikati Ya Ukuta Kama Mchawi Vile....
Ni Aina Ya Nguvu Ambayo Huwa Nayo Watu Wote Isipokuwa Katika Asilimia 100..
65% Ni Watu Wasioijua
25% Ni Watu Wanaoijua
10% Ni Watu Wanaoitumia..
Hatua Za Kufuata Ili Kusavei Nje Ya Mwili
Kuna Njia Mbili Za Kutoka Nje Ya Mwili Hapa Nitaielezea Moja...
Njia Hizo Ni:
1; self Astral P...
2: Astral By Binaural
HATUA ZA KUFUATA KWA NJIA YA KWANZA:
NI RAHISI TU....
1; Oga Na Vaa Nguo Safi Zisizo Bana
2: Lala Chali Mgongo Ukiwa Umenyooka Vema huku umefumba macho....
3: utapata vishawishi kujigeuza au kujitingisha vi ignore/ Usijishike wala kujitingisha kuwa kama soldier....
4: Usitingishe Macho Wala Kuchezesha Mwili Wako...
5: Subiri Na Uconcerntrate Kwenye Pumzi ( Hapa unakuwa unaudanganya ubongo kuwa mwili unaota)
6: ukiweza kujizuia Kujigeuza Geuza Au Kujikuna Ubongo Utajua Umelala Na Utaruhusu Mwili Kuachia Kinga Ya Paralysis Au Ganzi Salama Ya Mwili Mzima..
Ambayo Huwa Inakinga Miili Yetu Kutokujiumiza Wakati WA Kuota Mfano: sleep walking(unaota huku unatembea)
7: Wakati Hali Hii Inatokea Hapo Ndipo Unaweza Kujitenga na mwili wako ambao umepata ganzi....
tatizo hapa huwa lipo katika kujua ni upi mwili sahihi maana bado miili miwili inakuwa imeshikana
8: ukiamka na mwili wako wa ganzi kila kitu utakuwa umevuruga na utaamka kwenye mwili wenye ganzi (hii mimi ninauzoefu nayo pia unajiona upo macho lakini mwili hauamki wala kucheza unaganda ni kawaida ila huwa ni noma sana... haichukui muda ni kama sekunde 10 ukianza kujishtua au kujitingisha ila inashangaza kidogo wale wanafunzi wangu mnajua hapa namaanisha nini...
Sasa Je Utajua Vipi Kati Ya Miili Hii Upi Ni Sahihi?
Mbinu Rahisi Ipo Hivi Ukifikia Kwenye Hatua Hiyo Ya Kutoka.. Visualize Kwamba Una Mikono Mipya Na Miguu Mipya..
na ukishaingia kwenye hali hiyo hutokea set ya mingine
9: Baada Ya Hapo Inuka Katika Mwili Wako Wa Ndoto Sogea Mbele Hatua Tano Geuka Nyuma na Uangalie Mwili Wako Uliouacha.......
10: Hongera Umeweza Fanya Chochote Unachojiskia Hakina Madhara Kwenye Real World....
ANGALIZO:
Wakati Unautizama Mwili Wako Uliouacha Kuna Kitu Kina Kuwa Kimekuunga Na Ule Mwili Kama Silver cold Hivi Nyeupe Ya Kama Wingu Hiyo Ndio Hukusaidia Kurudi Hata Kama Umepotea Njia.....
Cc: Pasco , mshana jr , MziziMkavu
By: Rakims
Tobaaa hapanaa dahASTRAL PROJECTION/Mental Projection......
Ni Ule Uwezo Wa Mtu Kutengana Na Mwili Wake Ki Fikra Katika Imani Husemwa Kiroho...
Kutoka Ap Humfanya Mtu Kwenda Popote Duniani Ki Mawazo Na Kufarijika Nafsi Yake Na Kujifunza Mambo Tofauti Ya Sehemu Jirani Na Kupaa Au Kupita Katikati Ya Ukuta Kama Mchawi Vile....
Ni Aina Ya Nguvu Ambayo Huwa Nayo Watu Wote Isipokuwa Katika Asilimia 100..
65% Ni Watu Wasioijua
25% Ni Watu Wanaoijua
10% Ni Watu Wanaoitumia..
Hatua Za Kufuata Ili Kusavei Nje Ya Mwili
Kuna Njia Mbili Za Kutoka Nje Ya Mwili Hapa Nitaielezea Moja...
Njia Hizo Ni:
1; self Astral P...
2: Astral By Binaural
HATUA ZA KUFUATA KWA NJIA YA KWANZA:
NI RAHISI TU....
1; Oga Na Vaa Nguo Safi Zisizo Bana
2: Lala Chali Mgongo Ukiwa Umenyooka Vema huku umefumba macho....
3: utapata vishawishi kujigeuza au kujitingisha vi ignore/ Usijishike wala kujitingisha kuwa kama soldier....
4: Usitingishe Macho Wala Kuchezesha Mwili Wako...
5: Subiri Na Uconcerntrate Kwenye Pumzi ( Hapa unakuwa unaudanganya ubongo kuwa mwili unaota)
6: ukiweza kujizuia Kujigeuza Geuza Au Kujikuna Ubongo Utajua Umelala Na Utaruhusu Mwili Kuachia Kinga Ya Paralysis Au Ganzi Salama Ya Mwili Mzima..
Ambayo Huwa Inakinga Miili Yetu Kutokujiumiza Wakati WA Kuota Mfano: sleep walking(unaota huku unatembea)
7: Wakati Hali Hii Inatokea Hapo Ndipo Unaweza Kujitenga na mwili wako ambao umepata ganzi....
tatizo hapa huwa lipo katika kujua ni upi mwili sahihi maana bado miili miwili inakuwa imeshikana
8: ukiamka na mwili wako wa ganzi kila kitu utakuwa umevuruga na utaamka kwenye mwili wenye ganzi (hii mimi ninauzoefu nayo pia unajiona upo macho lakini mwili hauamki wala kucheza unaganda ni kawaida ila huwa ni noma sana... haichukui muda ni kama sekunde 10 ukianza kujishtua au kujitingisha ila inashangaza kidogo wale wanafunzi wangu mnajua hapa namaanisha nini...
Sasa Je Utajua Vipi Kati Ya Miili Hii Upi Ni Sahihi?
Mbinu Rahisi Ipo Hivi Ukifikia Kwenye Hatua Hiyo Ya Kutoka.. Visualize Kwamba Una Mikono Mipya Na Miguu Mipya..
na ukishaingia kwenye hali hiyo hutokea set ya mingine
9: Baada Ya Hapo Inuka Katika Mwili Wako Wa Ndoto Sogea Mbele Hatua Tano Geuka Nyuma na Uangalie Mwili Wako Uliouacha.......
10: Hongera Umeweza Fanya Chochote Unachojiskia Hakina Madhara Kwenye Real World....
ANGALIZO:
Wakati Unautizama Mwili Wako Uliouacha Kuna Kitu Kina Kuwa Kimekuunga Na Ule Mwili Kama Silver cold Hivi Nyeupe Ya Kama Wingu Hiyo Ndio Hukusaidia Kurudi Hata Kama Umepotea Njia.....
Cc: Pasco , mshana jr , MziziMkavu
By: Rakims