Mad Scientist
JF-Expert Member
- Jul 27, 2013
- 215
- 77
Aiseee hongera. Hadi umejaribu kuonja sumurakims ni kweli aisee leo nimejaribu mara tatu mara ya nne ikakubali mwili ulikua unatetemeka mno when soul ilipokua inatoka aiseeeee nimeaamini,, yani nlkua nshatoka nkawa nimekaa kabisa kitandani nnafocus kwenda kufata simu yangu kwny meza lkn nikafreak out kisha nikashtuka!!!!! its true guys just relax your mind,,
Hongera mkuu!! unaingia katika ulimwengu mwingine sasa!!!rakims ni kweli aisee leo nimejaribu mara tatu mara ya nne ikakubali mwili ulikua unatetemeka mno when soul ilipokua inatoka aiseeeee nimeaamini,, yani nlkua nshatoka nkawa nimekaa kabisa kitandani nnafocus kwenda kufata simu yangu kwny meza lkn nikafreak out kisha nikashtuka!!!!! its true guys just relax your mind,,
uthibitisho mkuu, tuambie ilikuaje hadi akafa, vipi watu walijuaje wakati ni mambo ya siri sana?Hii ndio iliyomuua Bruce Lee
Usijilazimishe Kutoka Weka Hisia Kwenye Mawimbi Ya Mwili Wa Ndani Ni Rahisi Mkuu Ukifika Paralyses State Unahisi Miili Yote Miwili Kwenye Kuchagua Huwa Ugumu Unajakuja Pale uangalia Upi Sahihi Na Upi Si Sahihi.. Sahihi Unaongozwa Kwa Nguvu Ya Fikra Ambao Sio Sahihi Unaongozwa Na Movement Za Hiari...Naomba ufafanuzi hapo maana leo nilifika hatua ya vibration, nilipojaribu kuinuka mara mbili nilishindwa.Nilipojaribu mara ya tatu nikajikuta nimeshituka. Tatizo nini hapo.
Watu wanakufa usinhizini kwa mambo mengine ila siyo astral projection unajua astral projection hata ukipishana na mtu unaweza ukazungumza na astral body yake kwa kuitoa nje.... sasa kama kufa huko ni rahisi basi tungekua tunakatana tu silver cord mtu anaenda zake...nahisi ndo ile wanasema flani kafa usingizini
Kwanin kalami nyeusi na nyekundiHaya Kwa Wale Wenye Kuitaji Group Only 50 People Whatsapp Kwa Astral Projection Pekee...
Mahitaji:
1: kalamu 2 nyeusi & Nyekundu
2: Counter Book 2 au Diary 2
3: Nidhamu, Subira,Mazoezi Kila Siku & Uvumilivu Vinahitajika Sana
Kama Upo Nje Ya Vigezo Usiingie Tusisumbuane Within One Month Nahitaji Nusu Ya Hao 50 Muwe Mmemust Na Kureta Mrejesho Tik Tok Time Start Now...
Rakims
Vip inakuwaje kupiga msuli ukiwa kwenye hali hiyo na ukawa na uwelewa mkubwa wa masomo au kijifunza teknoligia yoyote mfano komputa au mapishiWe Njoo Hata Na Pinki Na Kijani Mradi Kalamu Mbili Tofauti...
Rakims
Unaweza Vema Tu Tena Ukijifunza Kule Kitu Kinakua Kigumu Kusahaulika....Vip inakuwaje kupiga msuli ukiwa kwenye hali hiyo na ukawa na uwelewa mkubwa wa masomo au kijifunza teknoligia yoyote mfano komputa au mapishi
Naomba namba ya hilo group
Nakuja pmJoining Fees Sh 2000/= Maana Ukiingia Bure Utataka Utoke Bure Kila Topic Ikiisha Inalipiwa Kwa Mwenye Kutaka Kuendelea Na Next Topic..
Rakims
Cdhan kma ni mchezo Wa kufundishanaKwanini?
Uchawi Unatumia Magical Tools Na Vitu Vichafu Vichafu...Cdhan kma ni mchezo Wa kufundishana
Nyie huwa mnadil na wachawi nahis hiyo ni michezo ya kichawi