machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,225
- 5,055
Sawa ndguUchawi Unatumia Magical Tools Na Vitu Vichafu Vichafu...
Hii Unatumia Ubongo Ambao Ndio Muujiza Mkuu Wa Binadamu Binadamu....
Kama Tu Wanao fikiria Wangejua Kuongea Na Wanaoongea Wangejua Kufikiria....
Rakims
huko sasa si kufa?ASTRAL PROJECTION/Mental Projection......
Ni Ule Uwezo Wa Mtu Kutengana Na Mwili Wake Ki Fikra Katika Imani Husemwa Kiroho...
Kutoka Ap Humfanya Mtu Kwenda Popote Duniani Ki Mawazo Na Kufarijika Nafsi Yake Na Kujifunza Mambo Tofauti Ya Sehemu Jirani Na Kupaa Au Kupita Katikati Ya Ukuta Kama Mchawi Vile....
Ni Aina Ya Nguvu Ambayo Huwa Nayo Watu Wote Isipokuwa Katika Asilimia 100..
65% Ni Watu Wasioijua
25% Ni Watu Wanaoijua
10% Ni Watu Wanaoitumia..
Hatua Za Kufuata Ili Kusavei Nje Ya Mwili
Kuna Njia Mbili Za Kutoka Nje Ya Mwili Hapa Nitaielezea Moja...
Njia Hizo Ni:
1; self Astral P...
2: Astral By Binaural
HATUA ZA KUFUATA KWA NJIA YA KWANZA:
NI RAHISI TU....
1; Oga Na Vaa Nguo Safi Zisizo Bana
2: Lala Chali Mgongo Ukiwa Umenyooka Vema huku umefumba macho....
3: utapata vishawishi kujigeuza au kujitingisha vi ignore/ Usijishike wala kujitingisha kuwa kama soldier....
4: Usitingishe Macho Wala Kuchezesha Mwili Wako...
5: Subiri Na Uconcerntrate Kwenye Pumzi ( Hapa unakuwa unaudanganya ubongo kuwa mwili unaota)
6: ukiweza kujizuia Kujigeuza Geuza Au Kujikuna Ubongo Utajua Umelala Na Utaruhusu Mwili Kuachia Kinga Ya Paralysis Au Ganzi Salama Ya Mwili Mzima..
Ambayo Huwa Inakinga Miili Yetu Kutokujiumiza Wakati WA Kuota Mfano: sleep walking(unaota huku unatembea)
7: Wakati Hali Hii Inatokea Hapo Ndipo Unaweza Kujitenga na mwili wako ambao umepata ganzi....
tatizo hapa huwa lipo katika kujua ni upi mwili sahihi maana bado miili miwili inakuwa imeshikana
8: ukiamka na mwili wako wa ganzi kila kitu utakuwa umevuruga na utaamka kwenye mwili wenye ganzi (hii mimi ninauzoefu nayo pia unajiona upo macho lakini mwili hauamki wala kucheza unaganda ni kawaida ila huwa ni noma sana... haichukui muda ni kama sekunde 10 ukianza kujishtua au kujitingisha ila inashangaza kidogo wale wanafunzi wangu mnajua hapa namaanisha nini...
Sasa Je Utajua Vipi Kati Ya Miili Hii Upi Ni Sahihi?
Mbinu Rahisi Ipo Hivi Ukifikia Kwenye Hatua Hiyo Ya Kutoka.. Visualize Kwamba Una Mikono Mipya Na Miguu Mipya..
na ukishaingia kwenye hali hiyo hutokea set ya mingine
9: Baada Ya Hapo Inuka Katika Mwili Wako Wa Ndoto Sogea Mbele Hatua Tano Geuka Nyuma na Uangalie Mwili Wako Uliouacha.......
10: Hongera Umeweza Fanya Chochote Unachojiskia Hakina Madhara Kwenye Real World....
ANGALIZO:
Wakati Unautizama Mwili Wako Uliouacha Kuna Kitu Kina Kuwa Kimekuunga Na Ule Mwili Kama Silver cold Hivi Nyeupe Ya Kama Wingu Hiyo Ndio Hukusaidia Kurudi Hata Kama Umepotea Njia.....
Cc: Pasco , mshana jr , MziziMkavu
By: Rakims
mkuu unaweza ukaniambia roho inakaa sehemu gani katika mwil? na ukishafanya hiyo kitu ya kutoka nje ya mwili huo 'mwili mpya' ndo roho auHapana Hii Ni Mambo Ya Kiroho Tu... Proof Ya Roho...
Rakims
Roho Inapokaa Na Roho Ni Siri Ya Mwenyewe Mwenyezi Mungu Ila Jicho la tatu ni mlango wa roho sasa Na Astral Body Yani Mwili Wa Nafsi Sio Roho Pia Isipokua Elimu Ya Juu juu wanasema ni roho ila sio roho mkuu no body knows anything about roho...mkuu unaweza ukaniambia roho inakaa sehemu gani katika mwil? na ukishafanya hiyo kitu ya kutoka nje ya mwili huo 'mwili mpya' ndo roho au
kwahiyo mkuu vipi kuhusu hiyo nafsi.. ina utofauti gani na roho nayo inakaa wapi kwemye mwiliRoho Inapokaa Na Roho Ni Siri Ya Mwenyewe Mwenyezi Mungu Ila Jicho la tatu ni mlango wa roho sasa Na Astral Body Yani Mwili Wa Nafsi Sio Roho Pia Isipokua Elimu Ya Juu juu wanasema ni roho ila sio roho mkuu no body knows anything about roho...
View attachment 406789
Nafsi Inakaa Ndani ya mwili ambayo inaongoza mwili wa nyama pia yenyewe sio roho bali roho imo ndani ya hiyo nafsi hiyo nafsi ipo katika jicho la tatu ambalo huunga mwili wa nyama na nafsi mwili wa rohokwahiyo mkuu vipi kuhusu hiyo nafsi.. ina utofauti gani na roho nayo inakaa wapi kwemye mwili
utakufa unajiona shaur uskoGuys nimejarib dis morning....wakati wa kutengana miili nj shidaaa u feel like hell yaan ubarid unauckia unaanzia miguuni kwene unyayo....unapanda taratib then take over inatakoa very slowly....separation of body! Nimeamua nijikurupue maana kuna imetoke very strange! But ntajarib tenaa jion
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aiseee hongera. Hadi umejaribu kuonja sumu
Kwanin kalami nyeusi na nyekundi
Mkuu kwa mfano ukinogewa ukipaa au ukienda mbali kwa Mara ya kwanza inakuwaje ,ase kuna madhara auYanayoendelea... Astral Group Kwa Wale Amba Hamna Whatsapp Na Mnapitia Huu Uzi Mara Kwa Mara...
Wewe Unatakiwa Ufanye Taratibu Si Kukurupuka Hiyo Miungurumo Ya Kujikurupukisha Acha Ganzi Itake Place Walau Kwa Dk 2 hadi 5 hivyo hivyo unakua unafanya kama kujiinua...
NB: Penye Nia Pana Njia Jikaze Mkuu Ukitoka Nakupeleka Level Ya Pili Hivyo Hivyo Kwa Anaetoka Pia Hakilisha Huendi Mbali Walau Km 1 jifunze kuongoza huo mwili usitoke tu ukaanza na Kupaa...
Rakims
hata mie pia inanitokeaga sana hasa nikilala mchana hii inamaana gani rakimsRakims
Kipengele namba nane ni kweli hata mimi nathibitisha, huwa mara nyingi tu huwa nastuka usingizini, nafumbua macho kabisa ila siwez fanya chochote, mwili ni kama si wangu, halaf ghafla napata nguvu, unaweza kuielezea hii kwa undani zaidi?
kitu cha kwanza kujua ni kwamba kila kitu astral plane kina aura ya nafsi hata kikombe hata mti piaNaomba kujua unapofanya astral projection Kama usiku unakua unaona Kama ni Giza la usiku na unapokua mchana unaona mwanga au mchana na usiku kunakua na hali moja?