Regan Naberera
Member
- Dec 17, 2018
- 48
- 54
Fikiria kamba IPO juu ya Kutoka darini afu fikiria mkono wako wa kushoto unanyanyuka kushika kamba ili ujivute darini unatoka zako chapuNIMEJARIBU MARA KADHAA KUFANYA HIVYO BUT PINDI NINAPOTOKA KATIKA TENDO HILO NAHISI KUWA TOFAUTI SANA; ACTUALLY SIJAFANIKIWA KUTOKA LAKINI HII KITU IPO! NATHIBITISHA. NINAPOKUWA NIMEFUMBA MACHO HUWA NAHISI KUONA KANA KWAMBA SIJAFUMBA MACHO; NINACHOSHINDWA KUJITENGA TU LILE JICHO LA 3 ANALOSEMA BRO. #MSHANA Jr.
Tumia application inaitwa binaural beat therapy afu sikiliza huku umefumba machonajikuta nipo njia panda kuhusu haya yanayosemwa!! Maana najaribu ila nashindwa kabisa, ila natamani sana kuweza...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli ulimwengu wa kiroho mtu yeyote anaishi lakini katika levels mbalimbali na kwa utaratibu maalumu. Unapaswa kuwa mkweli kuhusu astral projection kwani ni wachache mno wamefanya astral projection, siyo kitu kidogo na siyo sawa na lucid dreaming.watu Wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Ukweli ni kwamba ulimwengu wa kiroho anaweza kwenda MTU yeyote Na hakuna madhara yeyote labda kama unao ushahidi ulete Mkuu
Nimejifunza ukiwa astal body ni ngumu kupata madhara kuliko ukiwa physical body
Ndo maana bibilia inasema mwili ni dhaifu lakini roho hii radhi
Sent using Jamii Forums mobile app
My friend your perfectly wrong,Muwe waangalifu na jambo hili ni hatari na huweza kutumika kama portal au mlango au sababu ya kuingiliwa na roho chafu. Ni kitendo ambacho wachawi hufanya kwa msaada wa roho za kuzimu.
Endapo mtu safi anafanya astral projection huwa ni kwa msaada wa roho mtakatifu na kwa lengo maalum la kimungu na huanzishwa na Mungu mwenyewe.
Kutoka nje ya mwili kwa initiative yako mwenyewe ni kutenda kosa kama wafanyavyo wachawi. Ni sawa na ushirikina kwani ukweli ni kwamba yeyote afanyaye astral projection hushirikiana na roho chafu.
Kawaida mwili uliobaki kitandani hubaki chini ya uangalizi wa pepo, yaani pepo huingia kwenye mwili uliobaki ili uendelee kuwa hai.
Unaweza usirudi una maana gani?Natokaga sana,nakua mazingira mazuri sana,hua sauti haitoki na ninaokutana nao.Unaweza usirudi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wachawi wanafanya sana astral projection kila siku hasa wakati wa usiku na hufanya hivyo kwa msaada ya roho chafu. Kitendo hiki kinahitaji msaada wa roho, ujue basi kama sio Roho Mtakatifu wa Mungu, ni roho chafu za kuzimu. Kama ni kwa Roho Mtakatifu ni kwa kusudio maalumu la Kimungu na hutafanya effort yoyote, itatokea automatically. Kuwa makini sana na forced astral projection ni hatari.True?
Mkuu mm ni mwanachuo je nikiwa kwenye hali ya AP naweza kujisomea na kuelewa zaidi??It is. But doing it you should know what your doing it for,
Rakims
Ndiyoo Inawezekana Saana Tuu Cha Msingii Ni Kukiweka Katika Mawazo Icho Kitu Unachotaka Kukisoma Mfano Nataka Kusoma Kitabu Cha Fools Die Cha Mario Puzzo Nitakua Nakiweka Katika Fikra Baada Ya Kudanganya Ubongo then Baada Ya Hapo utaweza Kusoma Either Utaona Page Moja Moja Inafunguka au Umekaa Umekishika Unakisoma .Mkuu mm ni mwanachuo je nikiwa kwenye hali ya AP naweza kujisomea na kuelewa zaidi??
Hii doppel ganger huwa ipo japo kwa asilimia 50 na kuhusu Automatic astral travelling hii ipo na hufanywa na wale ambao ni wenye asili yao yaani psychic powers unaweza kutumia zile uliyozaliwa nazo na zingine ukatumia hata kama ni hujazaliwa nazo na unaweza kufanya kwa kujifunza hizi zote ni uwezo ambao kila mtu anao inategemea jinsi unavyoi trigger
Mfano Kuna Mtu Nilisomaga Padre Pio Wa Italia Alikua na Uwezo Wa Kuonekana Mara Mbili Na Miili Yote Ikiwa Active Hasa Muda Wa Maombiii Hii Ni Nguvu Gani ....Hii doppel ganger huwa ipo japo kwa asilimia 50 na kuhusu Automatic astral travelling hii ipo na hufanywa na wale ambao ni wenye asili yao yaani psychic powers unaweza kutumia zile uliyozaliwa nazo na zingine ukatumia hata kama ni hujazaliwa nazo na unaweza kufanya kwa kujifunza hizi zote ni uwezo ambao kila mtu anao inategemea jinsi unavyoi trigger
Rakims
Kuna state za roho mtu akiweza kuzimudu vyema anakuwa anatoka na anajua hali hiyo ikitaka kutokea anakuwaje, pia anakuwa mara nyingi hawezi kufanya hivyo kwa sababu roho yake inakuwa kama kiungo cha ziada cha mwili wake ambacho kipo kwenye matendo ya hiari yake mwenyewe na pia kuhusu doppel ganger hii ni mapacha tu wasiokuwa kwenye mpangilio mkuu hawana kingine ila hata wewe ukitaka kumjua wa hivi ambaye ni mwenzio kwenye state za meditation ukiamsha kundalin power au ukifanya chant unaweza kumuona anaweza kuwa mtu au jini kama mtu ni bora ukamtafuta kama shetani ishia hapo.Mfano Kuna Mtu Nilisomaga Padre Pio Wa Italia Alikua na Uwezo Wa Kuonekana Mara Mbili Na Miili Yote Ikiwa Active Hasa Muda Wa Maombiii Hii Ni Nguvu Gani ....
Doppelganger Ina Uhusiano Wowote Kiroho??
Mfano Mtu mweny Uwez Wa Kufanya Automatic Astral Travel Yuko Road Akawaza Amesahau Simu Hom akasepa Sasa Si Hatar Itabaki Kwa Huu mwili Uliobaki ....