Jinsi Ya Kutongoza Wanawake Waliokuzidi Umri ( Majimama )

Jinsi Ya Kutongoza Wanawake Waliokuzidi Umri ( Majimama )

Ya nani tengeneza artificial mkuyati umuonyeshe kazi
 
Kuna njia mbili tu za kufanya upendwe na mwanamke,,,,ni either uwe na pesa au uwe vizuri kitandani,,,hayo mengine ni mbwembwe tu ambazo hazisaidii lolote
Miss jay njia ziko 3 mama
1. Pesa
2.pesa
3.pesa
 
Safi alikukojoza mara ngap, kuna bao ulichomoa daaah lile lilikuwa la mapacha, vp bado unazungusha kiuno kama Zaman?? Vp zile shanga kiunon?? Zipo
Shanga nilizovua ndo zile tumekunga kiunon kukuokoa na uanisi.manake bila hvyo utatoa.....mbwa
 
ukitongoza jimama pia jiandae kisaikolojia kuugua magonjwa ya kisasa
 
Kuna njia mbili tu za kufanya upendwe na mwanamke,,,,ni either uwe na pesa au uwe vizuri kitandani,,,hayo mengine ni mbwembwe tu ambazo hazisaidii lolote
Me niko vizuri kitandani,vipi sasa?
 
Kuna njia mbili tu za kufanya upendwe na mwanamke,,,,ni either uwe na pesa au uwe vizuri kitandani,,,hayo mengine ni mbwembwe tu ambazo hazisaidii lolote
Samahani, huyo jwenye Avatar ni wewe??
 
Maradhi yanatafutwa na kanuni nyingi namna hiyo. Hao wanawake wakubwa kwa nini wasimalizane na wakubwa wenzao
 
Naomba kuuliza hivi kila jimama limeumia kiafya .?

Maana naona vijana wanaogopeshwa sana
 
Write your reply...mhhh bado cjapata nondo za kutongoza mwanamke aliyekuzidi umri
 
Back
Top Bottom