Jinsi ya kutoona threads na comments za mtu

Jinsi ya kutoona threads na comments za mtu

Ndio changamoto ya kuanzisha mahusiano hapa JF lazima mmoja atalia tu
 
Unakuwaje na chuki na mtu unaemuona mtandaoni usiyemjua physically anafananaje?sio vizuri punguza chuki zisizo na maana!
naona kiswahili kinakupa shida, rudia kusoma thread vizuri, i am more concern na akiandikacho tu,
nimchukie mtu jf kwani namjua mimi
 
Jf kungekua na maadmin km wa wasap Wallah vile humu kungebaki wawili tuu, mana ingekua n mwendo wa ....... REMOVED YOU
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umeonaeee khaaa watu ni Nouma mazee
 
Habari zenu,

Hivi humu jf kuna jinsi ya kufanya usizione threads wala comments za mtu fulani???
Yani kuna mtu humu nikiona comments zake tu au threads zake nakosa hamu ya kula wiki nzima kwa jinsi anavyonichefua.

Muwe na week end njema
mkuu si umtaje tu huyo mtu... kwani ina cost sh ngapi?
 
uyo ni yule makonda oyeee bila shaka.....mi alikua ananikera ila siku hiz namuona kama KITUKO....
 
Umevurugwa dearest et.

Ili usione inabidi ufanye kuzima data tu, yan w zima data tu na huraziona kamwe.

Ahsante kwa ushirikiano.
 
Habari zenu,

Hivi humu jf kuna jinsi ya kufanya usizione threads wala comments za mtu fulani???
Yani kuna mtu humu nikiona comments zake tu au threads zake nakosa hamu ya kula wiki nzima kwa jinsi anavyonichefua.

Muwe na week end njema
Haaa, chuki ni mkono wa shetani ujue
 
Back
Top Bottom