Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
Watu wengi mmekuwa mkitumia pesa nyingi kuweka bando wengine mkikosa bando mnakuwa wapweke sana leo nitakufundisha jinsi ya kutumia mitandao ya kijamii bila kuwa na bando[emoji91]
KUNA NJIA TATU ZA KUTUMIA MITANDAO BILA BANDO
Nitawafundisha njia moja 1 kwanza kabisa hakikisha simu yako haina bando (yani bando liwe limeisha uwe na Mb 0)
Alafu sasa ndo ujiulize utatumiaje mtandao wa kijamii wakati hauna bando
NJIA PEKEE NI KUTAFUTA AFUTATU NA KWENDA DUKANI KUNUNUA BANDO.
KUNA NJIA TATU ZA KUTUMIA MITANDAO BILA BANDO
Nitawafundisha njia moja 1 kwanza kabisa hakikisha simu yako haina bando (yani bando liwe limeisha uwe na Mb 0)
Alafu sasa ndo ujiulize utatumiaje mtandao wa kijamii wakati hauna bando
NJIA PEKEE NI KUTAFUTA AFUTATU NA KWENDA DUKANI KUNUNUA BANDO.