Hb wa Ilala
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 1,189
- 1,217
- Thread starter
-
- #21
..zina chemicals,but sana ni kwa watoto ndo zina madharaHizo wipes hazina kemikali? Utanzaji wa nyapu ni sawasawa na jicho.
..zina chemicals,but sana ni kwa watoto ndo zina madhara
Mhusika ameshasema anogopa kutoka nje usiku, hii ni option tu ya kutolala na uchafu, au unamshauri aingize ndoo maji na basin chumbani kabla ya mechi?Ata kwa watoto sio sawa. Ni vizuri mtoto akasafishwa kwa maji safi.
Mhusika ameshasema anogopa kutoka nje usiku, hii ni option tu ya kutolala na uchafu, au unamshauri aingize ndoo maji na basin chumbani kabla ya mechi?
Kuna kitu hapo hakiko sahihi,Maana Ya pH ni Potential Hydrogen whereby pH scale Inaanza from 0-14 ambapo 1-5 ni acidic na 8-14 ni Basic. Kwa kawaida mwili wa Binadamu una pH yake na pH ya Vagina(Uke) ni kuanzia 3.8-4.5 nikimaanisha vagina ni acidic In nature!
Ipo hivyo so as to favour ukaaji wa bacteria fulani wanaitwa Lactobacilli ambao kazi yao kubwa ni kulinda uke from Infections mbalimbali giving it a certain smell na the fluids unazoziona kule ndo lactobacilli acid ambayo kazi yake ndo Hiyo, kwahiyo ikiondoka tu hiyo uke unashambuliwa na magonjwa kama yote!
VITU AMBAVYO HUATHIRI VAGINAL pH
1.SABUNI(SOAP)
Tumejengewa Imani kuwa inabidi kuosha uke na sabuni na powders kwamba unatoa harufu huku tukisahau kuwa uke unajisafisha wenyewe(Self cleaning) na Ile harufu ndo Yake sasa hii huathiri ecosystem ya uke. Kuna soaps zina PH 9-10 kwahiyo zinaathiri lactobacilli wanaolinda uke hivyo ulinzi wote unaondoka mashambulizi from infections yanakua very simple
SULUHISHO
Tumia maji Ya moto na kitambaa kuosha uke, au unaweza tafuta soaps zenye pH ya 4.5.
2.NGONO(SEX)
Shahawa zina pH karibia 9 na kuendelea depending na mtu kwahiyo kuwa nazo kwenye ukeni kunaathiri mazingira ya survival ya Lactobacilli kushambuliwa na magonjwa example candida microbes n.k inakua simple
SULUHISHO
Jitahidi kukojoa kila baada ya Kufanya Ngono!
3.KULA VYAKULA VYENYE SUKARI(SUGAR FOODS)
Kula vyakula vyenye sukari kunakaribisha ujio wa sugar loving microbes kama candida ivii instead jaribu kula small amount of sugar na simple carbs kama vile Yoghout na vitu kama Garlic ivii, maana Yoghourt creats mazingira mazuri ya lactobacillus na garlic inafanya mkojo kuwa more acidic.
..Mpka nmeandika Haya yote kweli unahisi sijui,sema ukimwaga sio content Yote inaenda some remain na znatoka kabisa njeKuna kitu hapo hakiko sahihi,
Kukojoa kuna mahusiano gani na hilo tundu jike?
Au hujui kama mkojo unatokea tundu jingine ambalo lipo nje kabisa chini ya kin...be?
Hizo hazina ph?Fanyeni mchana basiπππ joke, apite pharmacy kubwa au supermaket kubwa kuna wet wipes awe anajipangusa nazo na wewe pia.
Mbona zipo baby wipes tunapangusia watoto?Hizo hazina ph?
..ntaandika thread Ya namna Ya kupata aina ya mtoto unaetaka ondoa shaka [emoji4]Yeah somo zuri hili Hb wa Ilala . Lakini, kama ukiweza endelea pia kufafanua namna hiyo pH inavyoweza kun influence utungaji wa mimba ME au KE. Kuna ndoa nyingi zinaangamia kwa kukosa maarifa kama haya.
Kutokana na hii pH, kuna wanawake ambao ni vigumu kushika mimba ya KE au ME na hivyo kupelekea migogoro mingi tu ya ndoa.
Mkumbuke huko chumvini kuna herpes pia.Mkuu Hb wa Ilala ni ushauri wako (kitaalamu) kwa sisi wazama chumvini?? Au tukimaliza tuwe tuna sukutua na sensodyne[emoji81] [emoji81] [emoji81] (kidding)
*ni=niniMkuu Hb wa Ilala ni ushauri wako (kitaalamu) kwa sisi wazama chumvini?? Au tukimaliza tuwe tuna sukutua na sensodyne[emoji81] [emoji81] [emoji81] (kidding)
Yes, please!..ntaandika thread Ya namna Ya kupata aina ya mtoto unaetaka ondoa shaka [emoji4]
Yeah, na "maharage(viharage)" mengine huwa yamesheni utoko pia! Aaaaghrrr.....mapenzi kweli uchafu!πππMkumbuke huko chumvini kuna herpes pia.
Haya unayawaza sasa hivi, ukishakolea nyagi mbele ya mtoto mwenye chura wa Hale utakumbuka?Yeah, na "maharage(viharage)" mengine huwa yamesheni utoko pia! Aaaaghrrr.....mapenzi kweli uchafu!πππ