Jinsi ya kutunza pH ya Uke(Vaginal pH)

huyu ni mwongo kabisa, hakuna kitu kama hicho
..kwasababu umetoa conclusion Bila supportive evidence Yeyote na mimi nmeConclude kuwa hujielewi,,sipendagi ujinga mimi [emoji36]
 
Nimeuliza swali naomba msaada ndugu yangu, kuna sabuni inaitwa 'KAISIKI' imeandikwa sabuni ya wanawake, na imetengenezwa maalumu kwa ajili ya kunawia ukeni, je ni salama kwa matumizi hayo?
..depends on the content/Ingredients Mkuu
 
Ni kweli tena wakati wa kutafuta mimba mwanamke anashauriwa aweke mto chini ya kiuno alalie kwa dakika kama kumi baada ya sex, lakini kunawa ni muhimu, tumia maji tu. Uke unajisafisha wenyewe kila baada ya masaa nane.
Sasa na wale ambao wakifanya sperm zinakuwa zinatoka kidogo kidogo hata for 3 days si balaa[emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
Reactions: BAK
Nimeuliza swali naomba msaada ndugu yangu, kuna sabuni inaitwa 'KAISIKI' imeandikwa sabuni ya wanawake, na imetengenezwa maalumu kwa ajili ya kunawia ukeni, je ni salama kwa matumizi hayo?
Mzima lkn!
 
Sasa na wale ambao wakifanya sperm zinakuwa zinatoka kidogo kidogo hata for 3 days si balaa[emoji134] [emoji134] [emoji134]
..Kama lengo La ngono Yenu sio mimba hamna haja Ya deep penetration styles,tumia missionary tu ILI kurahisisha mchezo
 
Mbona kwa wanawake wengi wa kiislamu hizo harufu hazisikiki Bali marashi tu au wao ni wasafi zaidi mazingira hayo????
kwakweli japo ni swala linalo ingiliana na imani

ila naomb nikubaliane na wewe dada zetu wa upande wa pili wamajitahidi kwa usafi sijui wanatumia mbinu gani kujiswafi hutakutan na harufu za ajabu ajabu BIGUP
 
Mbona kwa wanawake wengi wa kiislamu hizo harufu hazisikiki Bali marashi tu au wao ni wasafi zaidi mazingira hayo????
kwakweli japo ni swala linalo ingiliana na imani

ila naomb nikubaliane na wewe dada zetu wa upande wa pili wamajitahidi kwa usafi sijui wanatumia mbinu gani kujiswafi hutakutan na harufu za ajabu ajabu BIGUP
 
Xawa kwa somo mkuu lakn naulza nikitumia mafuta ya mgando kulainisha uke wakat wa tendo kuna madhara kw mwnmke?
 
Xawa kwa somo mkuu lakn naulza nikitumia mafuta ya mgando kulainisha uke wakat wa tendo kuna madhara kw mwnmke?
..usitumie kabisa hayo kaka,Yana madhara especially a disease inaitwa vaginaosis alaf pia Yanasupport ukuaji wa Yeast/Fungi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…