Jinsi ya kutunza pH ya Uke(Vaginal pH)

Jinsi ya kutunza pH ya Uke(Vaginal pH)

Maana Ya pH ni Potential Hydrogen whereby pH scale Inaanza from 0-14 ambapo 1-5 ni acidic na 8-14 ni Basic. Kwa kawaida mwili wa Binadamu una pH yake na pH ya Vagina(Uke) ni kuanzia 3.8-4.5 nikimaanisha vagina ni acidic In nature!

Ipo hivyo so as to favour ukaaji wa bacteria fulani wanaitwa Lactobacilli ambao kazi yao kubwa ni kulinda uke from Infections mbalimbali giving it a certain smell na the fluids unazoziona kule ndo lactobacilli acid ambayo kazi yake ndo Hiyo, kwahiyo ikiondoka tu hiyo uke unashambuliwa na magonjwa kama yote!

VITU AMBAVYO HUATHIRI VAGINAL pH
1.SABUNI(SOAP)
Tumejengewa Imani kuwa inabidi kuosha uke na sabuni na powders kwamba unatoa harufu huku tukisahau kuwa uke unajisafisha wenyewe(Self cleaning) na Ile harufu ndo Yake sasa hii huathiri ecosystem ya uke. Kuna soaps zina PH 9-10 kwahiyo zinaathiri lactobacilli wanaolinda uke hivyo ulinzi wote unaondoka mashambulizi from infections yanakua very simple
SULUHISHO
Tumia maji Ya moto na kitambaa kuosha uke, au unaweza tafuta soaps zenye pH ya 4.5.

2.NGONO(SEX)
Shahawa zina pH karibia 9 na kuendelea depending na mtu kwahiyo kuwa nazo kwenye ukeni kunaathiri mazingira ya survival ya Lactobacilli kushambuliwa na magonjwa example candida microbes n.k inakua simple
SULUHISHO
Jitahidi kukojoa kila baada ya Kufanya Ngono!

3.KULA VYAKULA VYENYE SUKARI(SUGAR FOODS)
Kula vyakula vyenye sukari kunakaribisha ujio wa sugar loving microbes kama candida ivii instead jaribu kula small amount of sugar na simple carbs kama vile Yoghout na vitu kama Garlic ivii, maana Yoghourt creats mazingira mazuri ya lactobacillus na garlic inafanya mkojo kuwa more acidic.
Wamekusikia mkuu
 
Kama unaishi na partner au mke/mume ambae ni muathirika, madaktari watakwambia utumie ARV ili kujilinda, kama umefanya ngono zembe unashauriwa kuanza kunywa ARV's within 72 hours after, kabla virus hawajajiattach kwenye cells zako na kuanza kuriplicate. The same way, ukiwa na partner ambae humwamini, unakunywa ARV, hata kama ana VVU haviwezi kureplicate kwani ARV ina inhibit.

Kwahiyo kila baada ya ngono zembe unameza PEP kwa mwezi mzima?
 
..kwanini?!
Sababu zake hazina tofauti kama ulizoeleza hapo. Tulielezwa na Madaktari WATZ katika Training ya kutengeneza Sabuni Nairobi na aliitumia Sabuni alizotaja muuliza swali kama mfano wa udanganyifu wa kibiashara wanaofanyiwa Dada zetu.
 
Hivi sehemu zinapopita sperm ndo hapo hapo panapopita mkojo wa chooni, mbona mada imenichanganya kidogo, MANA MKOJO WATOKA KWENGINE NA SPERM ZAPITA KWENGINE INASAIDIA VIPI KUSAFISHA?
Good observation , Anatomy ya uke ni kuwa female urethra haipo kwenye Vagina canal sasa sijajua ni kwa namna gani mkojo unasaidia kusafisha semen baada ya ngono
 
Good observation , Anatomy ya uke ni kuwa female urethra haipo kwenye Vagina canal sasa sijajua ni kwa namna gani mkojo unasaidia kusafisha semen baada ya ngono
Can u send a drawing or something cha female anatomy nikueleweshe
 
Maana Ya pH ni Potential Hydrogen whereby pH scale Inaanza from 0-14 ambapo 1-5 ni acidic na 8-14 ni Basic. Kwa kawaida mwili wa Binadamu una pH yake na pH ya Vagina(Uke) ni kuanzia 3.8-4.5 nikimaanisha vagina ni acidic In nature!

Correction kwenye red
pH chini ya 7.0 ni acidic
pH ya 7.0 ni neutral
pH juu ya 7.0 ni basic.

Asante kwa elimu nzuri ya afya
 
Kutumia mate kulainisha k je kunamadhara yoyote???
 
Back
Top Bottom