Jinsi ya Kuuza Bidhaa EBay na Amazon

Jinsi ya Kuuza Bidhaa EBay na Amazon

Genius one

Senior Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
134
Reaction score
69
kwanza napenda niweke wazi kwamba Mimi ni mmoja kati watanzania wanaoingiza bidhaa mbalimbali kutoka China na Marekani(USA) yaani (importers).
Naamini wengi tunajua kuwa wafanyabiashara wengi sana wanao uza bidhaa ktk masoko kama EBay na Amazon ni matajiri sana. Kuna jamaa mmoja yeye anaishi marekani na anauza $1600- 1700 kwa siku ambayo ni zaidi ya million tatu TShs Kwa siku.
Ukifikiria kwa umakini utabaini kwamba hii ni fursa kubwa saana kibiashara, wenzetu wanaigeria wameshaiona hii fursa and they are thriving on sales.
Ombi kama kuna mtanzania mwenzetu mwenye ABCs jinsi ya kuuza kwenye haya masoko tunamuomba atupe mwanga hapa jukwaani ili nasi tuongeze vipato vyetu na uchumi Wa inchi yetu.Mimi nilijaribu kikwazo ni kwamba ukiwa Tanzania huwezi kupokea malipo kwa njia ya Paypal.There is any alternative? Let us share here friends!
 
Kwanza inabidi uwaulize hao ebay kama wanakubali kutumia njia nyingine ya malipo zaidi ya paypal, unaweza kuweka njia yako unayoona ni the best. Amazon wanakata pesa kutoka kwenye kadi yako moja kwa moja. Naona hii unaweza hii njia.

Pia umeshajiuliza utauza nini huko? Nakushauri kama unaweza ku-meet international standards za vyakula, unaweza kuuza huko.
 
Hili wazo zuri sana sio lazima ebay hatuwezi kubuni soko letu tz au africa mashariki au africa nzima? angalau sisi kwa bizaa zetu tunafanana kidogo.
 
Kwanza inabidi uwaulize hao ebay kama wanakubali kutumia njia nyingine ya malipo zaidi ya paypal, unaweza kuweka njia yako unayoona ni the best. Amazon wanakata pesa kutoka kwenye kadi yako moja kwa moja. Naona hii unaweza hii njia.

Pia umeshajiuliza utauza nini huko? Nakushauri kama unaweza ku-meet international standards za vyakula, unaweza kuuza huko.
Thanks kwa wazo zuri,vya kuuza vipo vingi sana vinapatikana katika jamii zetu na nje ya nchi yetu..we can buy and sell.Msaada kidogo jinsi ya kupokea malipo ukiwa Tanzania, kununua sio shida kabisa now we need to sell abroad.njia gani out of PayPal? Your help plz? Thanks!
 
Hili wazo zuri sana sio lazima ebay hatuwezi kubuni soko letu tz au africa mashariki au africa nzima? angalau sisi kwa bizaa zetu tunafanana kidogo.
Ni kweli kabisa na inawezekana...if we are determined we can do it.Ila wateja waliopo Tanzania ambao wananunua mtandaoni bado ni wachache. Hivyo,tunahitaji kutafuta wateja nje na ndani.
 
Haya ndio mawazo tunayotakiwa kuyachukulia mkazo hapa jamvini.....

Ahsante kwa appreciation..in short internet imeleta fursa nyingi sana. Let us help each other to utilise these opportunies. Ile PM uliyonitumia nnashindwa kukujibu kwasababu bado sijafikisha 5 posts hapa jukwani.so, ntakujibu friend.
 
Ahsante kwa appreciation..in short internet imeleta fursa nyingi sana. Let us help each other to utilise these opportunies.

Mkuu nakushauri hili wazo lako usililazie damu....hayo ni mawazo ambayo muumba amekufunulia kuelekea utajiri...
 
Kwanza tujue ni vitu gani ambavyo sisi tunaweza uza,vitu vingi tunavyonunua Ebay/Amazon ni Electronics,Vito,Saa na nguo
 
Kwanza tujue ni vitu gani ambavyo sisi tunaweza uza,vitu vingi tunavyonunua Ebay/Amazon ni Electronics,Vito,Saa na nguo
Vitu vya kuuza vipo vingi sana mfano tuna wabunifu(designers) wengi na wanadesign vitu vizuri sana na wazungu wanavihitaji,pia bidhaa na Mali gafi zitokanazo na kilimo etc. A lot of opportunies!
 
Mi ninazani tunawataalam wa mitandao, mtu akidizain mfumo wa soko na ikapatikana kampuni ya kupitishia malipo hii kitu inawezekana kabisa hebu wataalam wa computer hii fulsa tena tutajivunia wasomi wetu.
Ona hata mfumo wa jf unasomwa hadi ulaya inashindikana nn kutengeneza soko la mtandaon? ona hata wao wanayo mengi ebay amazon etc
 
Mi ninazani tunawataalam wa mitandao, mtu akidizain mfumo wa soko na ikapatikana kampuni ya kupitishia malipo hii kitu inawezekana kabisa hebu wataalam wa computer hii fulsa tena tutajivunia wasomi wetu.
Ona hata mfumo wa jf unasomwa hadi ulaya inashindikana nn kutengeneza soko la mtandaon? ona hata wao wanayo mengi ebay amazon etc

Ni kweli kabisa..If they can,we can. Let us keep on finding how...tutapata tu solution. Tuendelee kushare hapa.Thanks!
 
Thanks kwa wazo zuri,vya kuuza vipo vingi sana vinapatikana katika jamii zetu na nje ya nchi yetu..we can buy and sell.Msaada kidogo jinsi ya kupokea malipo ukiwa Tanzania, kununua sio shida kabisa now we need to sell abroad.njia gani out of PayPal? Your help plz? Thanks!

Payoneer nayo ni njia nzuri kwa huduma hiyo.
 
Mleta mada kuna benki inaitwa bancABC niliona michango ya watu humu kua hio bank unaweza kupokea malipo yanayotokana na paypal...kuna mtu aliwahi uliza swali kama lako hili
 
Mleta mada kuna benki inaitwa bancABC niliona michango ya watu humu kua hio bank unaweza kupokea malipo yanayotokana na paypal...kuna mtu aliwahi uliza swali kama lako hili
Ahsante kwa taarifa bro,hii ni habari njema pia.
 
Usije ukataka kuuza vitu wanavyouza wamarekani au nchi za ulaya. Utaishia kuumia kwasababu hutakuwa na comperative advantage.

Nakushauri uuze hata hivi vitu vidogovidogo vya culture toka tanzania.
 
hiyo bank nayo inayouwezo wa kukuletea malipo bila usumbufu wa aina yoyote ile au kutapeliwa mtandaoni mana mm naongopaga biashara za mtandaoni kwa ajili ya matapeli wa mtandaoni
Mleta mada kuna benki inaitwa bancABC niliona michango ya watu humu kua hio bank unaweza kupokea malipo yanayotokana na paypal...kuna mtu aliwahi uliza swali kama lako hili
 
Me nadhani hilo soko linawafaa wamarekani we uza bidhaa zako jumia,kaymu ndio panakufaaa pia itasaidia kutanua masoko yetu, anyway kama unaweza kudeliver bidhaa worldwide na kupambana na ushindani basi subiri wadau wafunguke
 
Back
Top Bottom