Jinsi ya kuvaa utokapo usiku

Jinsi ya kuvaa utokapo usiku

Ningeshangaa kutokukuona hapa. Mr. Fashionista

Upo na genge lako?!

Njooni mnywe bia nipo TIPS pembeni ya kaunta

IMG_8341.JPG
 
Hahahaa, wavulana nawenyewe sku hizi wanajiita wanaume?!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] genge sina nipo nyumbani nalea. Huko tips ngoja ni google location maana sipajui then nimtumie yuleeeeeeee

Nimekubali unajua kuingia ktk magenge
 
dah sasa inafkia hatua tunapangiana mpaka namna gani tuvae usiku

Kwa hyo hiyo ndo night dress ya wanaume au
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kujirusha huwa kuna mengi huwezi jua fursa za kwenye maeneo ya kujirusha.
Ebu clarify maana nimetoka kapa hapo [emoji848][emoji848]
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom