Jinsi ya kuvaa utokapo usiku

Hahahaa, wavulana nawenyewe sku hizi wanajiita wanaume?!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] genge sina nipo nyumbani nalea. Huko tips ngoja ni google location maana sipajui then nimtumie yuleeeeeeee

Nimekubali unajua kuingia ktk magenge
 
dah sasa inafkia hatua tunapangiana mpaka namna gani tuvae usiku

Kwa hyo hiyo ndo night dress ya wanaume au
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kujirusha huwa kuna mengi huwezi jua fursa za kwenye maeneo ya kujirusha.
Ebu clarify maana nimetoka kapa hapo [emoji848][emoji848]
 
Reactions: BAK
It’s Friday my dear relax and have fun. Remember that BAK will ALWAYS be BAK.

Sawa BAK japo sijaelewa wacha ni relax na umbrella tu [emoji26]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…