Hizo namba za admin unaziandikia wapi kwa huo mfumo wa binary ili uweze kupaste๐๐ถ๐ป๐๐ถ ๐๐ฎ ๐ธ๐๐๐ฎ ๐๐ฑ๐บ๐ถ๐ป ๐ธ๐๐ฒ๐ป๐๐ฒ ๐ด๐ฟ๐ผ๐๐ฝ ๐น๐ผ๐น๐ผ๐๐ฒ ๐น๐ฎ ๐ช๐ต๐ฎ๐๐๐ฎ๐ฝ๐ฝ
View attachment 3240783
Najua umeshawahi kujiuliza hivi inawezekana kuwa group Admin wa Kundi lolote la Whatsapp ?
๐ฏ๏ธNaam inawezekana japo sio ๐ rahisi kha unavyojua Sasa Leo nakuletea maujanja haya ukiyafanya kwenye simu yako ili kuwa admin kwenye group lolote lile sawa !!
View attachment 3240784
๐ฏ๏ธIla unahitaji kidogo uwe na knowledge kuhusu coding kwenye masuala ya binary number ambazo zinahusisha namba mbili TU 0 pamoja 1
View attachment 3240785
๐ฏ๏ธNgoja nikupe list la binary number utatumia kuwa admin wa kikundi chochote Cha Whatsapp bila ruhusa.
0 = 0 0 0 0 ,1 = 0-0-0-1,2 = 0-0-1-0
3 = 0-0-1-1 ,4 = 0-1-0-0, 5 = 0-1-0-1
6 = 0-1-1-0 7 = 0-1-1-1,8 = 1-0-0-0 na 9 = 1-0-0-1
๐ฏ๏ธIli kuwa admin Sasa kwanza ingia kwenye kikundi unachotaka kuwa admin kisha tafuta namba ya admin.
View attachment 3240788
๐ Kopi hiyo namba ya admin kwa mfumo wowote ule huwe wa international au local yani ๐
Mfano +255 655 013 250 au 0788 183 556
๐ฏ๏ธHiyo ni Tanzania format โ๏ธ Sasa hapo unahitaji ku convert hizo number kutoka namba za kawaida kuwa binary number.
โ Mfano 0788 itakua ni 0000011110001000 na nk.ukimaliza Sasa inabidi ufanye kwenye notepad yako kisha uta paste hapa ๐...
View attachment 3240789
โcng=true?=[weka namba ya admin mfumo wa binary]! [Weka namba yako mfumo wa binary ]&findchache.mnc.id=[802]ste5%Set.content?/ rfd=gvโ
Mfano Ambapo itakua kama hivi ๐
โcng=true?=[0000011101110010001101000010000000000000]! [100100010000000000000000000000000000000000000000]&findchache.mnc.id=[802]ste5%Set.content?/ rfd=gvโ
Baada ya hapo utachukua hiyo link nzima utaiweka kwenye kikundi ambacho unataka kuwa admin kisha utatuma.
Ukimaliza Sasa unachotakiwa kufanya ni kutoka kwenye Whatsapp yako ingia setting kwenye simu yako kisha app alafu Tafutq app yako Whatsapp clear data na cache.
Hakikisha umefanya backups za data zako baada ya hapo utafungua Whatsapp na kuandika namba yako na kuingia kwenye Whatsapp yako utaona Sasa umekua admin ๐.
Natumai umefanikiwa sio ๐ช t
uachie maoni yako Sasa ?
Na telegram je, tunafanyaje hapo?๐๐ถ๐ป๐๐ถ ๐๐ฎ ๐ธ๐๐๐ฎ ๐๐ฑ๐บ๐ถ๐ป ๐ธ๐๐ฒ๐ป๐๐ฒ ๐ด๐ฟ๐ผ๐๐ฝ ๐น๐ผ๐น๐ผ๐๐ฒ ๐น๐ฎ ๐ช๐ต๐ฎ๐๐๐ฎ๐ฝ๐ฝ
View attachment 3240783
Najua umeshawahi kujiuliza hivi inawezekana kuwa group Admin wa Kundi lolote la Whatsapp ?
๐ฏ๏ธNaam inawezekana japo sio ๐ rahisi kha unavyojua Sasa Leo nakuletea maujanja haya ukiyafanya kwenye simu yako ili kuwa admin kwenye group lolote lile sawa !!
View attachment 3240784
๐ฏ๏ธIla unahitaji kidogo uwe na knowledge kuhusu coding kwenye masuala ya binary number ambazo zinahusisha namba mbili TU 0 pamoja 1
View attachment 3240785
๐ฏ๏ธNgoja nikupe list la binary number utatumia kuwa admin wa kikundi chochote Cha Whatsapp bila ruhusa.
0 = 0 0 0 0 ,1 = 0-0-0-1,2 = 0-0-1-0
3 = 0-0-1-1 ,4 = 0-1-0-0, 5 = 0-1-0-1
6 = 0-1-1-0 7 = 0-1-1-1,8 = 1-0-0-0 na 9 = 1-0-0-1
๐ฏ๏ธIli kuwa admin Sasa kwanza ingia kwenye kikundi unachotaka kuwa admin kisha tafuta namba ya admin.
View attachment 3240788
๐ Kopi hiyo namba ya admin kwa mfumo wowote ule huwe wa international au local yani ๐
Mfano +255 655 013 250 au 0788 183 556
๐ฏ๏ธHiyo ni Tanzania format โ๏ธ Sasa hapo unahitaji ku convert hizo number kutoka namba za kawaida kuwa binary number.
โ Mfano 0788 itakua ni 0000011110001000 na nk.ukimaliza Sasa inabidi ufanye kwenye notepad yako kisha uta paste hapa ๐...
View attachment 3240789
โcng=true?=[weka namba ya admin mfumo wa binary]! [Weka namba yako mfumo wa binary ]&findchache.mnc.id=[802]ste5%Set.content?/ rfd=gvโ
Mfano Ambapo itakua kama hivi ๐
โcng=true?=[0000011101110010001101000010000000000000]! [100100010000000000000000000000000000000000000000]&findchache.mnc.id=[802]ste5%Set.content?/ rfd=gvโ
Baada ya hapo utachukua hiyo link nzima utaiweka kwenye kikundi ambacho unataka kuwa admin kisha utatuma.
Ukimaliza Sasa unachotakiwa kufanya ni kutoka kwenye Whatsapp yako ingia setting kwenye simu yako kisha app alafu Tafutq app yako Whatsapp clear data na cache.
Hakikisha umefanya backups za data zako baada ya hapo utafungua Whatsapp na kuandika namba yako na kuingia kwenye Whatsapp yako utaona Sasa umekua admin ๐.
Natumai umefanikiwa sio ๐ช t
uachie maoni yako Sasa ?
Hehehe unajua unanichekesha sasa huo si uvamizi wa Hitler.No, siyo kuongoza kinyemela.
Nikishamtoa admin namiliki mimi hilo group, nabadili jina la group, naweka admin wasaidizi wangu wapya na kuweka kanuni mpya. Just for fun
samahan mkuu, kuna utofauti kati ya IT na hizo nyingine Computer Engneering na Computer Science ? samahani unaweza kunipa japo utofauti wake japo nijue ipi ni kubwa kuliko wenzakeSio Engineering hiyo, wala sio computer science, ni IT tu
Mambo ya kuumiza kichwa species nyingi hazipendi mkuu ๐๐๐๐๐๐Oooh sawa sawa mtaalamu
Bro lengo lako nini ๐๐คฃKwahiyo ni kwa Androids tu?
Computer Science inahusika na misingi ya computer, algorithm na utengenezaji wa software.samahan mkuu, kuna utofauti kati ya IT na hizo nyingine Computer Engneering na Computer Science ? samahani unaweza kunipa japo utofauti wake japo nijue ipi ni kubwa kuliko wenzake
Tunakupindua kimafia
Nakubali ni uongoOya acha Ushamba wakujifanya Coding
Akileta video akifanya hiki alichoandika Nampa 1M
NARUDIA NAMPA 1M
HAKUNA UPUUZI KAMA HUU.
Easy tu ujiweke admin kwenye WhatsApp