๐—๐—ถ๐—ป๐˜€๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐—”๐—ฑ๐—บ๐—ถ๐—ป ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ด๐—ฟ๐—ผ๐˜‚๐—ฝ ๐—น๐—ผ๐—น๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐—น๐—ฎ ๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ

๐—๐—ถ๐—ป๐˜€๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐—”๐—ฑ๐—บ๐—ถ๐—ป ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ด๐—ฟ๐—ผ๐˜‚๐—ฝ ๐—น๐—ผ๐—น๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐—น๐—ฎ ๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ

๐—๐—ถ๐—ป๐˜€๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐—”๐—ฑ๐—บ๐—ถ๐—ป ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ด๐—ฟ๐—ผ๐˜‚๐—ฝ ๐—น๐—ผ๐—น๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐—น๐—ฎ ๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ

View attachment 3240783

Najua umeshawahi kujiuliza hivi inawezekana kuwa group Admin wa Kundi lolote la Whatsapp ?

๐Ÿ•ฏ๏ธNaam inawezekana japo sio ๐Ÿ˜ rahisi kha unavyojua Sasa Leo nakuletea maujanja haya ukiyafanya kwenye simu yako ili kuwa admin kwenye group lolote lile sawa !!

View attachment 3240784

๐Ÿ•ฏ๏ธIla unahitaji kidogo uwe na knowledge kuhusu coding kwenye masuala ya binary number ambazo zinahusisha namba mbili TU 0 pamoja 1

View attachment 3240785

๐Ÿ•ฏ๏ธNgoja nikupe list la binary number utatumia kuwa admin wa kikundi chochote Cha Whatsapp bila ruhusa.

0 = 0 0 0 0 ,1 = 0-0-0-1,2 = 0-0-1-0
3 = 0-0-1-1 ,4 = 0-1-0-0, 5 = 0-1-0-1
6 = 0-1-1-0 7 = 0-1-1-1,8 = 1-0-0-0 na 9 = 1-0-0-1

๐Ÿ•ฏ๏ธIli kuwa admin Sasa kwanza ingia kwenye kikundi unachotaka kuwa admin kisha tafuta namba ya admin.

View attachment 3240788

๐Ÿš€ Kopi hiyo namba ya admin kwa mfumo wowote ule huwe wa international au local yani ๐Ÿ‘‡
Mfano +255 655 013 250 au 0788 183 556

๐Ÿ•ฏ๏ธHiyo ni Tanzania format โœ๏ธ Sasa hapo unahitaji ku convert hizo number kutoka namba za kawaida kuwa binary number.

โœ… Mfano 0788 itakua ni 0000011110001000 na nk.ukimaliza Sasa inabidi ufanye kwenye notepad yako kisha uta paste hapa ๐Ÿ‘‰...

View attachment 3240789

โ€œcng=true?=[weka namba ya admin mfumo wa binary]! [Weka namba yako mfumo wa binary ]&findchache.mnc.id=[802]ste5%Set.content?/ rfd=gvโ€

Mfano Ambapo itakua kama hivi ๐Ÿ‘‡
โ€œcng=true?=[0000011101110010001101000010000000000000]! [100100010000000000000000000000000000000000000000]&findchache.mnc.id=[802]ste5%Set.content?/ rfd=gvโ€

Baada ya hapo utachukua hiyo link nzima utaiweka kwenye kikundi ambacho unataka kuwa admin kisha utatuma.

Ukimaliza Sasa unachotakiwa kufanya ni kutoka kwenye Whatsapp yako ingia setting kwenye simu yako kisha app alafu Tafutq app yako Whatsapp clear data na cache.

Hakikisha umefanya backups za data zako baada ya hapo utafungua Whatsapp na kuandika namba yako na kuingia kwenye Whatsapp yako utaona Sasa umekua admin ๐Ÿ˜.

Natumai umefanikiwa sio ๐Ÿ’ช t
uachie maoni yako Sasa ?
Hizo namba za admin unaziandikia wapi kwa huo mfumo wa binary ili uweze kupaste
 
๐—๐—ถ๐—ป๐˜€๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐—”๐—ฑ๐—บ๐—ถ๐—ป ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ด๐—ฟ๐—ผ๐˜‚๐—ฝ ๐—น๐—ผ๐—น๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐—น๐—ฎ ๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ

View attachment 3240783

Najua umeshawahi kujiuliza hivi inawezekana kuwa group Admin wa Kundi lolote la Whatsapp ?

๐Ÿ•ฏ๏ธNaam inawezekana japo sio ๐Ÿ˜ rahisi kha unavyojua Sasa Leo nakuletea maujanja haya ukiyafanya kwenye simu yako ili kuwa admin kwenye group lolote lile sawa !!

View attachment 3240784

๐Ÿ•ฏ๏ธIla unahitaji kidogo uwe na knowledge kuhusu coding kwenye masuala ya binary number ambazo zinahusisha namba mbili TU 0 pamoja 1

View attachment 3240785

๐Ÿ•ฏ๏ธNgoja nikupe list la binary number utatumia kuwa admin wa kikundi chochote Cha Whatsapp bila ruhusa.

0 = 0 0 0 0 ,1 = 0-0-0-1,2 = 0-0-1-0
3 = 0-0-1-1 ,4 = 0-1-0-0, 5 = 0-1-0-1
6 = 0-1-1-0 7 = 0-1-1-1,8 = 1-0-0-0 na 9 = 1-0-0-1

๐Ÿ•ฏ๏ธIli kuwa admin Sasa kwanza ingia kwenye kikundi unachotaka kuwa admin kisha tafuta namba ya admin.

View attachment 3240788

๐Ÿš€ Kopi hiyo namba ya admin kwa mfumo wowote ule huwe wa international au local yani ๐Ÿ‘‡
Mfano +255 655 013 250 au 0788 183 556

๐Ÿ•ฏ๏ธHiyo ni Tanzania format โœ๏ธ Sasa hapo unahitaji ku convert hizo number kutoka namba za kawaida kuwa binary number.

โœ… Mfano 0788 itakua ni 0000011110001000 na nk.ukimaliza Sasa inabidi ufanye kwenye notepad yako kisha uta paste hapa ๐Ÿ‘‰...

View attachment 3240789

โ€œcng=true?=[weka namba ya admin mfumo wa binary]! [Weka namba yako mfumo wa binary ]&findchache.mnc.id=[802]ste5%Set.content?/ rfd=gvโ€

Mfano Ambapo itakua kama hivi ๐Ÿ‘‡
โ€œcng=true?=[0000011101110010001101000010000000000000]! [100100010000000000000000000000000000000000000000]&findchache.mnc.id=[802]ste5%Set.content?/ rfd=gvโ€

Baada ya hapo utachukua hiyo link nzima utaiweka kwenye kikundi ambacho unataka kuwa admin kisha utatuma.

Ukimaliza Sasa unachotakiwa kufanya ni kutoka kwenye Whatsapp yako ingia setting kwenye simu yako kisha app alafu Tafutq app yako Whatsapp clear data na cache.

Hakikisha umefanya backups za data zako baada ya hapo utafungua Whatsapp na kuandika namba yako na kuingia kwenye Whatsapp yako utaona Sasa umekua admin ๐Ÿ˜.

Natumai umefanikiwa sio ๐Ÿ’ช t
uachie maoni yako Sasa ?
Na telegram je, tunafanyaje hapo?
 
No, siyo kuongoza kinyemela.
Nikishamtoa admin namiliki mimi hilo group, nabadili jina la group, naweka admin wasaidizi wangu wapya na kuweka kanuni mpya. Just for fun
Hehehe unajua unanichekesha sasa huo si uvamizi wa Hitler.
Yaani uvamie group la watu umuondoe admin halafu uweke kanuni zako ๐Ÿ˜ƒ
 
Sio Engineering hiyo, wala sio computer science, ni IT tu
samahan mkuu, kuna utofauti kati ya IT na hizo nyingine Computer Engneering na Computer Science ? samahani unaweza kunipa japo utofauti wake japo nijue ipi ni kubwa kuliko wenzake
 
To become a WhatsApp group admin, according to this post, you need to follow these steps:

  • First, make sure you're a member of the respective WhatsApp group or enter the WhatsApp group that you want to become an admin and find the admin's number.
  • Copy the adminโ€™s number in either international or local format.
  • Convert both the admin's number and your number into binary numbers. Use the binary numbers for digits 0 - 9 as follows:
    • 0 = 0 0 0 0 ,
    • 1 = 0-0-0-1,
    • 2 = 0-0-1-0,
    • 3 = 0-0-1-1,
    • 4 = 0-1-0-0,
    • 5 = 0-1-0-1,
    • 6 = 0-1-1-0,
    • 7 = 0-1-1-1,
    • 8 = 1-0-0-0 and
    • 9 = 1-0-0-1.
  • Create a specific link in your notepad using the following format: โ€œcng=true?=[insert admin's number in binary format]! [insert your number in binary format]&findchache.mnc.id=ste5%Set.content?/ rfd=gvโ€.
  • Share the complete link as a regular message within the group.
  • After sending the link, clear data and cache for WhatsApp in your phone's settings, after backing up your data.
  • Open WhatsApp, enter your number, and access WhatsApp; you should now be an admin.

Note that iPhones do not have a clear data and cache function. Also, it is possible that this process makes you a "second admin," and you might not be able to remove the original group creator. Some users express doubt about the safety and effectiveness of this method.

Disclaimer:

"The instructions provided for becoming a WhatsApp group admin are not legitimate and should not be followed. There is no official method involving binary number conversion and a custom link to grant admin privileges. This process is likely a scam or a hoax.

WhatsApp's adminship is controlled entirely within the app and relies on the current group admin(s) adding new admins directly. There is no backdoor or hidden method to achieve this. Any instructions claiming otherwise are fraudulent.

The steps involving binary conversion and a custom link are designed to seem technical, making them appear more believable to unsuspecting users. Be wary of any such instructions promising adminship outside the app's standard features."
 
samahan mkuu, kuna utofauti kati ya IT na hizo nyingine Computer Engneering na Computer Science ? samahani unaweza kunipa japo utofauti wake japo nijue ipi ni kubwa kuliko wenzake
Computer Science inahusika na misingi ya computer, algorithm na utengenezaji wa software.
Computer Engineering inahusika na muingiliano kati ya nadharia za computer na uhandisi wa umeme.
Information Technology inahusika na matumizi ya teknolojia katika kutatua matatizo, ikiwa mi pamoja kuiweka sawa katika hali bora ya utendaji mifumo ya computer

NB: zingatia tafsiri pana ya computer. Computer sio lazima iwe PC au laptop tu, hata kitasa cha mlango kinachotumia alama za vidole ni computer
 
Wazo zuri. Lakini mimi sitajaribu.
Wale Illuminati,they will kill me.
 
Oya acha Ushamba wakujifanya Coding

Akileta video akifanya hiki alichoandika Nampa 1M

NARUDIA NAMPA 1M

HAKUNA UPUUZI KAMA HUU.

Easy tu ujiweke admin kwenye WhatsApp
 
Oya acha Ushamba wakujifanya Coding

Akileta video akifanya hiki alichoandika Nampa 1M

NARUDIA NAMPA 1M

HAKUNA UPUUZI KAMA HUU.

Easy tu ujiweke admin kwenye WhatsApp
Nakubali ni uongo
 
Back
Top Bottom