๐—๐—ถ๐—ป๐˜€๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐—”๐—ฑ๐—บ๐—ถ๐—ป ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ด๐—ฟ๐—ผ๐˜‚๐—ฝ ๐—น๐—ผ๐—น๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐—น๐—ฎ ๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ

HApo hakuna ukwel wowote mkuu. Binary haifanyi kazi hvyo. Unapoingiza hiyo txt ulyocopy unakumbuka kuwa inakuwa marked kama sehemu ya conversation katika paragraph mpy?

Hebu 2letee v2 vyenye tech sio kuhangaisha watu na vitu visivyokuwepo.
 
Samahani tena mkuu, katika hizo course tatu ulizozielezea kwa ufupi, ipi kati ya hizo ni kubwa kuliko nyingine (Yaani kati ya wasomi wahitimu, yupi huwa na uwezo mpana zaidi kuhusu computers kuwazidi wenzake ?)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ