hahaha always done
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 1,126
- 1,973
Ngoja nikawe admin group Moja hivi alafu nimremove wife, hatoamini macho yake,,ntaleta mrejeshoUkishakuwa admin unafaidika nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nikawe admin group Moja hivi alafu nimremove wife, hatoamini macho yake,,ntaleta mrejeshoUkishakuwa admin unafaidika nini
Hehehe kijana naona unavutiwa na kuwa tapeliUnatuma tu kama message ya kawaida kwenye chats?
Duh,
Usumbufu mwingi huu, bora ukodi mtu akufanyie!
Ukiweza kujipenyeza kinyemela kama hivyo ukawa admin (wa mchongo), je unaweza ku-remove admin halisi?
Na kwa nini uwaondoe kwenye group lao kama sio unyanyasajiUnakua second admin ila unaweza kuondoa admin wengine sio aliyeunda group
For sureWanangu kueni macho punde si punde atalizwa mtu, nalog off
For sureWanangu kueni macho punde si punde atalizwa mtu, nalog off
Hahaha,Hehehe kijana naona unavutiwa na kuwa tapeli
Sasa si naona wewe umeenda extra mile.Hahaha,
Dogo, mbona wanionea badala ya kumtuhumu mtoa mada mwenye utaalamu huo?!!
SawaUna bahati your man nimesomea IT ngoja nijaribu my love
No, siyo kuongoza kinyemela.Sasa si naona wewe umeenda extra mile.
Yani unaulizia mpk jins ya kumtoa admin uliyemkuta ili group uongoze ww kinyamela ๐
Imegoma huyo mtoa mada muongo banaSawa
Imegoma huyo mtoa mada muongo bana
Mlolongo mrefu weee.
Tuanzie hapa kwani faida za kuwa Admin ni zipi?
Imegoma huyo mtoa mada muongo bana