Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,508
- 2,619
Amani iwe nanyi Great Thinkers!
Nimejaribu kupost threads kwenye majukwaa mbalimbali lakini nimeshindwa. Sijui kwa nini wakati siku ya kwanza najiunga JF ilikuwa rahisi tu kupost ktk lile jukwaa la UTAMBULISHO.
Naomba kufahamu pengine kuna vigezo vya kuzingatia ili uweze kupost thread ktk jukwaa lolote.
UPDATES:
Nilikuwa najaribu pia (sikuwahi) kupost ktk jukwaa hili lakn nimeona imekubali. Kwa nini nashindwa ktk majukwaa mengine?
Moderator
Mod One
Mod Two
Mod Three
Mod Four
Invisible
PainKiller
NightCrawler
Active
Mhariri
Cookie
Nimejaribu kupost threads kwenye majukwaa mbalimbali lakini nimeshindwa. Sijui kwa nini wakati siku ya kwanza najiunga JF ilikuwa rahisi tu kupost ktk lile jukwaa la UTAMBULISHO.
Naomba kufahamu pengine kuna vigezo vya kuzingatia ili uweze kupost thread ktk jukwaa lolote.
UPDATES:
Nilikuwa najaribu pia (sikuwahi) kupost ktk jukwaa hili lakn nimeona imekubali. Kwa nini nashindwa ktk majukwaa mengine?
Moderator
Mod One
Mod Two
Mod Three
Mod Four
Invisible
PainKiller
NightCrawler
Active
Mhariri
Cookie