Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,508
- 2,619
Farolito said:Endelea kujaribu ukiona unakwama wasiliana na @Moderator
Sawa mkuu, ww ilikuwaje pindi ulipojiunga JF kwa mara ya kwanza? Ilikuwa hiv hv au?MWANAKA said:Endelea tu one day YES
Kiziwanda Chema said:Utakua na tatizo la Problems and Troubleshooting, jitahidi kuandika kwa kurembesha mwandiko tena ule wa kulala.
Kila la heri.
Hance Mtanashati said:Uzi wako haujulikani unataka nini hasa
Ambition Plus said:Nadhani inachukua zaidi ya siku tatu kupost kwny majukwaa yote
Queenever1 said:Labda kuna sehemu unakosea.,
Ndiyo mkuu naona mambo yanaenda sawia.Hope tatizo limeisha
Sasa we wiki moja tu unaanza kulialia hapa.. Watu wana miaka zaidi ya 5 na hawaruhusiwi hata kucoment Intelligent forum..we vp AlaaahNina zaidi ya wiki tangu niwe member!
Asante mkuu, tupo pamoja.Jeef George said:safari njema nakutakia jaribu tena laza mwandiko utaweza usiwaze