Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,849
- 3,506
Ujasirimali ni uzinduzi, ubunifu na uendeshaji wa biashara then kuwa na uwezo pamoja na nia ya uendelezaji wa hiyo biashara.
Unapokuwa mjasiriamali inamaanisha unatakiwa kupitia mchakato wa kuandaa na kusimamia mradi wa biashara pamoja na risk yoyote itakayojitokeza ili kutengeneza faida.
-Kuwa mjasiriamali bora inakuhitaji msukumo na kujitoa.
-Kuwa mjasiriamali mwenye mafanikio inakuhitaji uwe mjasiriamali bora mwenye usimamizi mzuri na nguvu ya kujiinua.
>>>>Zifuatazo ni njia za kufanya uwe Mjasiriamali bora na mwenye mafanikio.
1. SIKU ZOTE INAANZA NA SHAUKU (PASSION),..
-shauku ndio itakufanya upate wazo bora.
-shauku ndio itakufanya usiogope kufeli.
-shauku ndio itakupa ujasiri wa kuingia na kuendelea.
2. CHUKUA NAFASI YA KUJIPA CHANGAMOTO (CHALLENGE YOUR SELF)
-Usiogope kuchukua risk.
-Fanya maamuzi ambayo haujawahi kufanya maishani mwako juu ya kutafuta fursa.
-Fikiria kuwa hauwezi kuishi bila ujasiriamali.
3. USIFIKIRIE JINSI INAVYOFIKIRIKA, FIKIRIA JINSI YA KUFANYA WAKIFIKIRIE TOFAUTI INAVYOFIKIRIKA.
-Gundua kile watu wanachokosa, ifanye kama furasa kwako na tafuta njia ya kuwafanikishia.
-Tambua kile watu wanachopenda na wanachokihitaji, ila tafuta njia mbadala ya kuwafikishia tofauti na zile zilizoeleweka.
-Ingia katika mfumo uliozeleweka , tafuta njia ya kuboresha miundombinu ya kulahisishia mfumo huo tofauti na wengine.
4. JIFUNZE KUWA GENERALIST (MWANA-UJUMLA) ILA PALE UTAKAPOKUWA HAUNA MAARIFA KWA AJILI YA USIMAMIZI WA MOJA YA SEKTA YA BIASHARA YAKO THEN UNAWEZA KUAJIRI MTU ALIYE NA MAARIFA HAYO.
-Usimamizi wa hatari za kifedha na za uendeshaji (financial and operation risk)
-Usimamizi wa fedha na uhasibu (Financial management and accounting)
-Utengenezaji wa mpango mkakati wa mauzo, masoko na promtion ya bidhaa au huduma.
5. BORESHA UFAHAMU NA UJUZI WAKO (KNOWLEDGE AND SKILLS)
-Jifunze kutoka kwa biashara zilizofanikiwa na zile zilizo feli
-Kuongeza kiwango chako cha elimu
-Kuhudhuria na kuwa sehemu ya semina na vikundi vya ujasiriamali.
-kupata mentor.
Sent using Jamii Forums mobile app
Y
Unapokuwa mjasiriamali inamaanisha unatakiwa kupitia mchakato wa kuandaa na kusimamia mradi wa biashara pamoja na risk yoyote itakayojitokeza ili kutengeneza faida.
-Kuwa mjasiriamali bora inakuhitaji msukumo na kujitoa.
-Kuwa mjasiriamali mwenye mafanikio inakuhitaji uwe mjasiriamali bora mwenye usimamizi mzuri na nguvu ya kujiinua.
>>>>Zifuatazo ni njia za kufanya uwe Mjasiriamali bora na mwenye mafanikio.
1. SIKU ZOTE INAANZA NA SHAUKU (PASSION),..
-shauku ndio itakufanya upate wazo bora.
-shauku ndio itakufanya usiogope kufeli.
-shauku ndio itakupa ujasiri wa kuingia na kuendelea.
2. CHUKUA NAFASI YA KUJIPA CHANGAMOTO (CHALLENGE YOUR SELF)
-Usiogope kuchukua risk.
-Fanya maamuzi ambayo haujawahi kufanya maishani mwako juu ya kutafuta fursa.
-Fikiria kuwa hauwezi kuishi bila ujasiriamali.
3. USIFIKIRIE JINSI INAVYOFIKIRIKA, FIKIRIA JINSI YA KUFANYA WAKIFIKIRIE TOFAUTI INAVYOFIKIRIKA.
-Gundua kile watu wanachokosa, ifanye kama furasa kwako na tafuta njia ya kuwafanikishia.
-Tambua kile watu wanachopenda na wanachokihitaji, ila tafuta njia mbadala ya kuwafikishia tofauti na zile zilizoeleweka.
-Ingia katika mfumo uliozeleweka , tafuta njia ya kuboresha miundombinu ya kulahisishia mfumo huo tofauti na wengine.
4. JIFUNZE KUWA GENERALIST (MWANA-UJUMLA) ILA PALE UTAKAPOKUWA HAUNA MAARIFA KWA AJILI YA USIMAMIZI WA MOJA YA SEKTA YA BIASHARA YAKO THEN UNAWEZA KUAJIRI MTU ALIYE NA MAARIFA HAYO.
-Usimamizi wa hatari za kifedha na za uendeshaji (financial and operation risk)
-Usimamizi wa fedha na uhasibu (Financial management and accounting)
-Utengenezaji wa mpango mkakati wa mauzo, masoko na promtion ya bidhaa au huduma.
5. BORESHA UFAHAMU NA UJUZI WAKO (KNOWLEDGE AND SKILLS)
-Jifunze kutoka kwa biashara zilizofanikiwa na zile zilizo feli
-Kuongeza kiwango chako cha elimu
-Kuhudhuria na kuwa sehemu ya semina na vikundi vya ujasiriamali.
-kupata mentor.
Sent using Jamii Forums mobile app
Y